Huwa najiuliza sana sipati jibu
1. Sijui kwanini sio verified member wa JF.
2. Sijui huu woga umetokea wapi?
3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha?
Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.