Elections 2010 Msemaji MKUU wa CCM anashirikiana na MAJANGILI

CCM has a better plan to achieve what India has been able to achieve in a few years. Vote CCM and the dream that every Tanzanian has will be realized soon. Chadema and CUF are fear mongerers and full of dumb policies that perpetuate Xenophobia.
Vote CCM.
Long live JK
why now over 50 yrs in power?
Raj Patel GO FORTH AND MULTIPLY.
 
Huyu Msomali ana hisa katika makundi ya maharamia wanaoteka meli katika mwambao wa pembe ya Africa (Horn of Africa) na hela hizo zinatumiwa kufadhili CCM
 
Mwaya mimi naomba kuuliza jamani . . .



Hivi tunavyosikia pembeni kuwa CCM wanahusika na vifo vya:
  • Kombe
  • Sokoine
  • Malima
  • Rutihinda
  • Balali
  • Mwaikambo
  • Chifupa
  • Kolimba
Si ina maana kuna mtu ambaye anaaminiwa kufanya mipango kama hii? Sasa ni nani huyo jamani?

Big Lady umesahau kwenye orodha yako watu wawili ambao nao inasemekana kuna mkono wa mtu katika vifo vyao. Hao si wengine bali ni:
Dr W. Chagula na Dr JK Nyerere. Sasa unganisheni dots zaidi...
 
why now over 50 yrs in power?
Raj Patel GO FORTH AND MULTIPLY.

Step by step we'll be getting there, sir!
We're on the right track, as long as you stop xenophobia and welcome foreign investors esp. Asian investors who have showed their dedication in developing Tanzania
 
Hivi jamani kutembea na mke wa mtu si ufisadi? Nielimisheni tafadhali.

Sio ufisadi bali ni kuzini! Ufisadi ni kitu kingine kabisa

Cambridge Advanced Learner's Dictionary


Definition


graft noun ( INFLUENCE )

pron-uk.png
pron-us.png
/grɑːft/
ussymbol.png
/græft/ n


mainly US the act of getting money or advantage through the dishonest use of political power and influence The whole government was riddled with graft, bribery, and corruption.
 
CCM has a better plan to achieve what India has been able to achieve in a few years. Vote CCM and the dream that every Tanzanian has will be realized soon. Chadema and CUF are fear mongerers and full of dumb policies that perpetuate Xenophobia.
Vote CCM.
Long live JK

If CCM plan is to be like India then I will rather say No to that. India despite its fantastic economic achievement has one of world biggest unequal income distribution the world has seen. Likewise, India has one the highest level of povertry in the world so do you mean Kikwete wants us to be like India then I will rather not vote for him!!! Find another example like China whereby you have largest ratio of population is middle income and you have an economy that is growing not like India whereby 70% are extremely poor and the rest are filthy rich!!!! sorry
 
Back
Top Bottom