Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
<br />Hawa magamba wanatuchanganya sana mkutano wa Nec juzijuzi hapa et wanaagiza serikali ipunguze bei ya mafuta yataa heeeeee? nisawa na mkono wakushoto kuagiza mkono wa kulia sasa hao watu wanatumia kichwa kufikiri kweli?
<br />
ule ni uamuz wa NEC si wa CCM.