figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,604
- 62,349
- Thread starter
- #21
Naunga mkono hojaWampe kwanza Samuya ku test. tuone kama pombe ataacha.
Naunga mkono hojaWampe kwanza Samuya ku test. tuone kama pombe ataacha.
Check na Mirembe mkuuMCD tafsiri yake ni MEDICAL STORES DEPARTMENT ipo kwa mujibu wa sheria na inaagiza dawa zote za
Kinga ya magonjwa mbalimbali
Tiba ya magonjwa mbalimbali yaambukizayo na yasiyoambukiza
Vifaa tiba mbalimbali
Je unywaji wa pombe uko kwenye category gani ya ugonjwa mpaka ziagizwe dawa za kuacha pombe?
Hii dawa ukijaribu tu kunywa, ndiyo basi tena. Madini yote kichwani yatapotea.Nalewa bwashee , sina siri🤣
Hahahaaa... Nasikia zinaua nguvu za kiume🤣Hii dawa ukijaribu tu kunywa, ndiyo basi tena. Madini yote kichwani yatapotea.
Ya kweli hayo mkuuBohari Kuu ya Dawa Tanzania (MSD) imesema ipo mbioni kuleta dawa ya kusaidia kuacha pombe, ili kusaidia wenye changamoto ya uraibu wa pombe.
View attachment 3578632
Meneja wa MSD Kanda ya Dodoma, Mwanashehe Jumaa amesema dawa hizo zitatibu uraibu wa pombe na si sigara.
MY TAKE:
Viwanda vya pombe ndo vinaongoza kwa kulipa Kodi. Je, MSD imedhamiria kumhujumu Samia?
Bado naamini hizo dawa zita-expire zikiwa Store. Nani kawaambia tunataka dawa?
Bora mnngeshauri wanywe Baltika
Ya kweli hayo mkuu
Kama kweli ni jambo la kheri