Msanii Zimwi adai mke wake alimkimbia baada ya kuugua

Msanii Zimwi adai mke wake alimkimbia baada ya kuugua

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,992
Reaction score
5,660
Muigizaji na mchekeshaji maarufu Zimwi amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu

Hivi karibuni amefanya mahojiano na waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa yeye ni baba wa mtoto mmoja na amekuwa na mwanamke aliyemkimbia kipindi cha kuugua ingawa alimsaidia sana mke wake pamoja na familia ya mkewe alipokuwa na afya njema

 
Muigizaji na mchekeshaji maarufu Zimwi amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu

Hivi karibuni amefanya mahojiano na waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa yeye ni baba wa mtoto mmoja na amekuwa na mwanamke aliyemkimbia kipindi cha kuugua ingawa alimsaidia sana mke wake pamoja na familia ya mkewe alipokuwa na afya njema

Inasikitisha Sana....Hakuna mwanamke atakayevumilia shida ,ukiona anavumilia basi jua kuna maokoto yapo yapo ,yakikata tu na yeye Shaaaaaaaaaaaaa!!
 
Back
Top Bottom