Mbona baba levo anaelekea Dodoma!
Naunga mkono hoja.
Zitto amwachie hapo mjini yeye aende akamtoe Serukamba kule kwenye Jimbo lake la zamani!Zitto ndio kikwazo. Atakubali kumuachia.?
Hata Ney wa mitegoTumuunge mkono Baba Levo
Ananikera Sana kujipendekeza kwa shirole na kumponda Uchebe sijui Tu kwann haya manundu saba kwann Uchebe asingempa huyu ngochiroWakuu
Tumuunge mkono Baba Levo maana wengine wameamua kutusaliti wameenda kula pilau huko Dodoma sasa sisi tuendelee kumshika mkono Baba levo.
Nadhani mmeona wenyewe tulivosalitiwa na hawa wasanii hadi sio poa.