Msanii wenu anaelekea kubaya

Msanii wenu anaelekea kubaya

Una ID mbili ila unatumia akili yako ile ile na mawazo yako yale yale tu,
ni sawa na kujificha kwenye bustani ya mchicha.
Unanishawishi nifuatilie hiyo I'd nione kama hapa jfyupo mtu mwenye akili sahihi kama zangu hadi wewe unanifananisha naye! 😁 mimi ndiyo mtu mwenye akili nyingi sana hakuna yoyote wa kunipata hapa jf ...na mtu yoyote akiweza kumiliki asilimia 10tu ya akili yangu basi huyo mtu atakuwa ni genius mkubwa sana.
 
Kazi tukufu ya M.b.o ya P diddy hiyo ...huyo mpumbavu alimchukua babu tale kwenda naye kwa p diddy akijua didi atamla tale tu..mwamba akasema msilete upuuzi akawafumua nyuma wote wawili.
Kmmk 🙌🙌🙌😁😁😁
Nimecheka Sana

Walivyorudi ndio wakaupatia mitaji mmoja akanunua roles rolls mwingine akapata pesa ya kufanya kampeni ya ubunge 😁😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom