....Na ww utaandika sana na bdo Lijuakali na yule mwenzie bado Wanahenya
....Chagdema wamechanganyikiwa.
Yaaani Hakuna dira totally
.....Wema ni jembe,au unadharau dada yetu. Usione umesimama. ...Nyie kaeni na ubavu wenu sisi tuwe na akili zaidi.
....Viva chadema
....CCM bwana ati sizitaki mbichi hizi
Ww vip? Kwani wema ni jini asipokelew?ni binadam km ww ana haki zakeChadema kuna madodoki mengi...alisafishwa Lowassa watamshindwa Wema Sepetu? Ila vita ndio imeanza sasa.....Wema asipo jipanga atapotea kabisaaaaaaaaaaaaa!!!! Namaliza kama the Bold "Si vis pacum para bellum" (if you want peace, prepare for war)
.....Ukisoma baadhi ya message za wana CCM mitandaoni utagundua kabisa roho zao zinawauma kukimbiwa na mwanadada machachari Wema Sepetu. Lawama zinawaendea CHADEMA eti wanakichafua chama kwa kumchukua Wema kuwa mwanachama wao na kwamba chama kitanuka harufu ya uuza unga. Hii ni kichekesho sana ukizingatia Wema hajahukumiwa kuwa ni muuza dawa au ni mtumiaji. Kama mwanadamu, Wema anaona amedhalilishwa sana na watu ambao amewasaidia sana kuingia Ikulu. ANAONA HASTAHILI KUZUSHIWA NA KUHARIBIWA BRAND na watu kama akina Makonda kwa kuwa tu kamkatalia kimapenzi. Binadamu yoyote hawezi kuendelea kuishi na mtu ambaye hakuthamini wala hathamini mchango wako! Namuunga mkono Dada Wema kwa uamuzi wako, ningeshangaa kama ungeendelea kubaki huko! Karibu CDM tuikomboe nchi. Makelele ya CCM juu yako ni kwakuwa ROHO zinawauma wewe kuondoka. NAAMINI WENGI WAKO NYUMA YAKO. Tawala za dhulma huwa hazidumu
.....Ww vip? Kwani wema ni jini asipokelew?ni binadam km ww ana haki zake
....Ningeshangaa kama angeendelea kubaki kwa magamba