Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Ramadhani Kalesela Pingu yupo kwenye huzuni kubwa baada ya kufiwa na mke wake pamoja mtoto aliyekuwa tumboni leo majira ya asubuhi kwenye hospitai ya taifa Muhimbili.
Kwa mujibu wa taarifa iliyoifikia DarTalk, mapema mchana wa leo zinasema kuwa mke wa Pingu alikuwa na hali mbaya wakati wa kujifungua kutokana na kutokwa damu nyingi, ndio tatizo kubwa ilimpelekea kupoteza uhai wake pamoja na wa mtoto aliyekuwa tumboni.
Hata hivyo rafiki wa karibu na Pingu msanii Z-anto, alisema bado wanaendeea na vikao ili kujua watasafilisha au watazikia hapa hapa Dar, lakini hata hivyo nyumbani kwa Pingu Mabibo kuna watu wengi ambao wamejitokeza kumfariji mfiwa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyoifikia DarTalk, mapema mchana wa leo zinasema kuwa mke wa Pingu alikuwa na hali mbaya wakati wa kujifungua kutokana na kutokwa damu nyingi, ndio tatizo kubwa ilimpelekea kupoteza uhai wake pamoja na wa mtoto aliyekuwa tumboni.
Hata hivyo rafiki wa karibu na Pingu msanii Z-anto, alisema bado wanaendeea na vikao ili kujua watasafilisha au watazikia hapa hapa Dar, lakini hata hivyo nyumbani kwa Pingu Mabibo kuna watu wengi ambao wamejitokeza kumfariji mfiwa.