Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,942 Reaction score 43,599 Sep 16, 2023 #1 Baada ya kutrend na sakata la kuombwa Ngono,Leo msanii Ruby ameona sio mbaya akatumia upepo huo kutoa wimbo unaoitwa “YATAPITA” na ametumia muda huu kuwaomba mumsapoti…. Pamoja na hilo imeonekana kama alitaka kiki ilikutoa wimbo wake mpya.
Baada ya kutrend na sakata la kuombwa Ngono,Leo msanii Ruby ameona sio mbaya akatumia upepo huo kutoa wimbo unaoitwa “YATAPITA” na ametumia muda huu kuwaomba mumsapoti…. Pamoja na hilo imeonekana kama alitaka kiki ilikutoa wimbo wake mpya.
MSAGA SUMU JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 6,707 Reaction score 21,865 Sep 16, 2023 #2 Sema hawa wasanii "wanatuona Manyani"
adakiss23 JF-Expert Member Joined Jan 23, 2011 Posts 4,921 Reaction score 5,323 Sep 16, 2023 #3 Dah muziki wa siku hizi bana. Yan bila Kiki mambo hayaendi kabisa [emoji23][emoji23]
Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 13,346 Reaction score 21,244 Sep 18, 2023 #4 adakiss23 said: Dah muziki wa siku hizi bana. Yan bila Kiki mambo hayaendi kabisa [emoji23][emoji23] Click to expand... Yaani uharibiwe image Yako Yako kwa ajili ya nyimbo ku trend? Sidhani
adakiss23 said: Dah muziki wa siku hizi bana. Yan bila Kiki mambo hayaendi kabisa [emoji23][emoji23] Click to expand... Yaani uharibiwe image Yako Yako kwa ajili ya nyimbo ku trend? Sidhani