OPTIMUS TZ
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 391
- 65
Roma ni sehemu ya m4c jamani hatakama hana kadi ya cdm mimi huyo mtoto namkubali kwani nikama uchanganye zito,lema,kafulila na myika ila ajichunge sana asije akajikuta mambwepande manake msangi bado yuko ofisini