princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Naskia huyu chalii ndo bonge la artist kwa fas ya Makambako,Big shout out to him.
@ChaliiYaKijengeJuu
@ChaliiYaKijengeJuu
Swaggz na anaimba kwa hisia piaMbona analia huyo
Wee maisha kashayapatia chaliangu,ila pale usafini atawakalisha danta wote coz sioni msanii Ata mmoja anafikia talanta ya huyu chalii bora aende Univeral Music Group,Sony au Deff jam ndo level zaketaarifa zilizotufikia hv punde, WCB wanamhitaji kwa udi na uvumba
Ni mtazamo tu!Wee maisha kashayapatia chaliangu,ila pale usafini atawakalisha danta wote coz sioni msanii Ata mmoja anafikia talanta ya huyu chalii bora aende Univeral Music Group,Sony au Deff jam ndo level zake
NakubaliNi mtazamo tu!
Naskia huyu chalii ndo bonge la artist kwa fas ya Makambako,Big shout out to him.
@ChaliiYaKijengeJuuView attachment 1102072
Ooooh Mamiloo nigani aisee??Mlianza na wasukuma, mkaenda Mbeya sasa hivi mmehamia Njombe