Msanii Marioo ataka kujinyonga kisa Mimi Mars

Msanii Marioo ataka kujinyonga kisa Mimi Mars

Kunyanganywa mchuchu unafikiri mchezo....

Tena ukute mtamuu...hautaishia kujinyonga tu unaweza ua hadi watoto.

Chezea uno.
 
Asitutoe barabarani tuko bize kumsikiliza rais wetu TAL
Ni yeye!
 
Lenie hivi kweli yupo mwenye roho mbaya kukushinda,
Maana mi sijaona sijaona
Hivi kweli yupo asiyeona haya kukushida..Maana mi sijaona duniani
 
Kwamba akijinyonga ndio anaondoka na papuchi ya Mimi mars au!?

Hizi sijui akili za wapi hizi, we unajiua mwenzio unamuacha duniani anakula raha tu.
 
Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
Kuna Uchaguzi Mkuu 2020
Huku Wengine Wanataka Kujiua Waharibu Uchaguzi Kwa Kupoteza Kura, Na Kushindwa Kumuona Upcoming President
😂😁😀😅😄😃😃😄😁😂🤣😅😄😄😍😊😘🤩😶🤨😑😑
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom