Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,404
- 6,228
Kwema wakuu?
Naulizi msanii hapo juu yupo wapi siku hizi maana sijamsikia kitambo?
Mwenye taarifa zake aweke hapa.
Naulizi msanii hapo juu yupo wapi siku hizi maana sijamsikia kitambo?
Mwenye taarifa zake aweke hapa.
Hapo mwanzo nilidhani mi unanipendaa lady, ukikaa na wenzakoo unanisemaa kwaninii....sikudhani kama moyo wangu ungeutenda lady, penzi langu kurudia kwako sitowezaa kabisaa