Msanii Hammer Q yupo wapi siku hizi?

Msanii Hammer Q yupo wapi siku hizi?

Mkweche II

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2018
Posts
4,404
Reaction score
6,228
Kwema wakuu?

Naulizi msanii hapo juu yupo wapi siku hizi maana sijamsikia kitambo?

Mwenye taarifa zake aweke hapa.
 
Hii aliimba Bi Kidude(RIP) ukarudiwa na Lady Jay Dee
Nilikosea kuandika nilimanisha Pembe la ng'ombe

kifupi: Muhogo wa jang'ombe uliimbwa na Siti Binti Saad.

Akaiga: Bi Kidude

Akaiga: Lady Jay Dee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom