Rose Mhando.Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.
Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.
Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,
Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.
Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Amber lulu yule waliyepiga collabor na gigy kwa chuma cha chuma ndo mpole..??? 🫢
Eti Amber lulu mpole mdogo angu?? 🤣🤣
Hivi hiyo chamanzi bamia TV CBTV ipo kweli au?Nashi emcee now maalim Nash akaa mkurugenzi wa CBTV.
Jamaa mtu poa sana
😃 Haipo anazingua tuHivi hiyo chamanzi bamia TV CBTV ipo kweli au?
Yeah, long time...Mkuu Bishop Hiluka mzee wa vibe na busara...
Longtime bra! hivi Gayo bado anatoa movie? Lyamba yupo wapi siku hizi? Yule mshkaji boge alikuwa pale petrol station Magomeni mzee wa stori nyingi yupo?
Nilikutanaga nae pale kinondoni B Kwa Dr.mvungi..Chidi nimekutana nae juzi kimara mwisho Hana mwili kabisa yaani Mimi nae yeye Mimi baunsa
Amekaa kijiweni kimara mwisho
Mm magomeni Makutiuliishi hapo pia...?
Anless PubJCB watengwa . Nakumbuka tulikuwa bar moja Barabara ya Ilboru . I enjoyed a lot.
Huyu huyu aliyekuwa clouds kwenye siz kitaa yupo uhuru?Casto Dickson..Mshkaji poa sana hatuwezi kaa wiki hatujaonana atantafuta au mm nitamtafuta mshkaji ni mtu sema upepo tu ...now yupo Uhuru FM....
una mkumbuka Muddy white...?Mm magomeni Makuti
Mkuu hebu nipe faida na hasara za hii Kazi kwa hapa Dar..Maeneo unatakiwa kutega abiriaakati naendesha bolt nimekutana na wengi sana..
jay moe mtu poa very likable dude
amber lulu nilimpakia mara 2 ni mpole sana tofauti ya mtandaoni nikamwambia nataka niwe msanii akaniambia ata usijihangaishe hamna kitu huku ila mpolee au labda first impression.
Abby charms alinipa tip ya elf 10 nilikua na gari bovuuu na halina a.c maza ake akanitilea shombo aka cancel trip njiani abby alivoshuka akanishikisha 10 kimya kimya.
Ila nshakutanaa na wengne wengiii studio, na sinza vatican kwa mwanangu..wasanii wengi sana wanakaa sinza.