Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

Mkuu hebu nipe faida na hasara za hii Kazi kwa hapa Dar..Maeneo unatakiwa kutega abiria
maeneo hot kwangu ni mikocheni, mbezi beach, sinza, ubungo kariakoo kote inalia muda wote mkuu ukianza kwenda nje kdogo kinyerez huko au mbagala ndo probably hutapata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom