Tetesi: Msanii Diamond Platnumz (Dangote) aumbuka Kenya:

Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.

Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.

View attachment 498394

[/QUOT

Nilidhani kakosea kiswahili. Kumbe kiingereza cha kuja?
 
lugha aina mashiko katika kumhukumu mtu, mbona wazungu wakija uku wanasuasua kuongea kiswahili vzuri....
uzi fyongo huu
 
Mkuu haya mashuti uliyopigwa ngoja mi nipite tu kwani nilitaka nitapike ila wakuu wenzangu TeamDangote washamaliza umebaki ndembendembe
 
Sasa hapo siasa imekujaje jamani?!wacha tu tuendelee kuwa maskini maana kiwango chetu cha ujinga ni cha hali ya juu sana!!
 
Hekima na busara ni kumrekebisha pale alipo kosea kwani humu si kunawajuzi wengi sana wa lugha sasa kwa nini mnashabikia pasina kumuonesha njia mh! Jamani Ndugu zangu watanzania tubadirike na tuwaze kusaidiana ili tufike sambamba kwani naamini hakuna mkamilifu chini ya jua angavu
 
mende kuangusha kabati ni habari ila kabati kumuangukia mende si habarii.. Mtu anamuambia Diamond ajirekebishee kivipi..Wewe unayempa Diamond ushauri maisha yako binafsi yanakushindaa
 
Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.

Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.

View attachment 498394
Wakati mwingine kama huna kitu cha kupost kaa na wanao mtazame Tom &Jerry, sio lazima upost, hapa mwenye matatizo ni wewe, wala sio Diamond, kwa post yako hii mwenye akili alishajua una chuki binafsi na Diamond ndo maana unaanza kuunganisha na mambo mengine ya kipuuzi wala hayahusiki kabisa na ishu ya kuongea kiingereza kibovu, isitoshe kwani kiingereza ndo nini hasa kwenye ustawi wa mtu, wachina asilimia 98 hawajui kiingereza umewazidi nini, wewe kiingereza unakijua maisha yako na Diamond unamkuta wewe? Pata muda wa kufikiri kabla hujaleta chuki zako humu.
 
Tokea huyu bwana mdogo ajifanye Team Bashite nimemdharau sana..ila asubiri ataona tu
 
Mchina, mjerumani, mfaransa, mkenya, n.k. akiongea broken english sawa. Mtanzania akiongea mbaya. Mkenya, mganda, mzambia, mzungu akiongea broken kiswahili sawa. Diamond piga kazi ulieleweka
 
Wakati mwingine kama huna kitu cha kupost kaa na wanao mtazame Tom &Jerry, sio lazima upost, hapa mwenye matatizo ni wewe, wala sio Diamond, kwa post yako hii mwenye akili alishajua una chuki binafsi na Diamond ndo maana unaanza kuunganisha na mambo mengine ya kipuuzi wala hayahusiki kabisa na ishu ya kuongea kiingereza kibovu, isitoshe kwani kiingereza ndo nini hasa kwenye ustawi wa mtu, wachina asilimia 98 hawajui kiingereza umewazidi nini, wewe kiingereza unakijua maisha yako na Diamond unamkuta wewe? Pata muda wa kufikiri kabla hujaleta chuki zako humu.

Uko sahihi ata ivi naangalia hiyo Tom & Jelly lakini kwako wewe msanii wa kiwango cha kimataifa kupiga broken ni tatizo kubwa sana hasa kwa wenzetu inaweza ikampolute kabisa mbele ya mafans wake, Sasa kwenye hii inchi ya ahadi huwa hatuoni kabisa kwani naamini hata wewe ni walewale tu.
Unapokuwa wa kimataifa seriousness lazime iongezeki, Eti chuki sasa nini mimi au wakenya?
 
mende kuangusha kabati ni habari ila kabati kumuangukia mende si habarii.. Mtu anamuambia Diamond ajirekebishee kivipi..Wewe unayempa Diamond ushauri maisha yako binafsi yanakushindaa

Huwa namkumbuka sana Mr Nice ivi yuko wapi?
 
Back
Top Bottom