Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.
Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.
View attachment 498394
[/QUOT
Nilidhani kakosea kiswahili. Kumbe kiingereza cha kuja?
Post ya wivu mtoa maada
Wakati mwingine kama huna kitu cha kupost kaa na wanao mtazame Tom &Jerry, sio lazima upost, hapa mwenye matatizo ni wewe, wala sio Diamond, kwa post yako hii mwenye akili alishajua una chuki binafsi na Diamond ndo maana unaanza kuunganisha na mambo mengine ya kipuuzi wala hayahusiki kabisa na ishu ya kuongea kiingereza kibovu, isitoshe kwani kiingereza ndo nini hasa kwenye ustawi wa mtu, wachina asilimia 98 hawajui kiingereza umewazidi nini, wewe kiingereza unakijua maisha yako na Diamond unamkuta wewe? Pata muda wa kufikiri kabla hujaleta chuki zako humu.Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.
Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.
View attachment 498394
TzNdo msanii wa wapi huyu?
Wakati mwingine kama huna kitu cha kupost kaa na wanao mtazame Tom &Jerry, sio lazima upost, hapa mwenye matatizo ni wewe, wala sio Diamond, kwa post yako hii mwenye akili alishajua una chuki binafsi na Diamond ndo maana unaanza kuunganisha na mambo mengine ya kipuuzi wala hayahusiki kabisa na ishu ya kuongea kiingereza kibovu, isitoshe kwani kiingereza ndo nini hasa kwenye ustawi wa mtu, wachina asilimia 98 hawajui kiingereza umewazidi nini, wewe kiingereza unakijua maisha yako na Diamond unamkuta wewe? Pata muda wa kufikiri kabla hujaleta chuki zako humu.