Amechelewa ,tayari jina lake lipo kwenye orodha ,ni swala la muda ,atafikiwa tu.Kaondoa hadi post ya kumtakia heri Samia Suluhu kwenye Uchaguzi Mkuu 2025.
Ndo kishawasaliti au kanusa kitu mbele?
Haitoshi , lazima apate maumivu yatakayomkumbusha hata akiwa usingizini atambue kumbe Taifa ni zaidi ya chama cha siasa .Aombe radhi waranzania