msanii Chid Benz avuta bangi ukumbini

msanii Chid Benz avuta bangi ukumbini

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
chidi+benz.JPG
Hapo Chidi Benz akiwa kashikiwa bangi na Shabiki wake na kutoa kibiriti cha gesina kuiwasha kama unavyoona hapo
Chini benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya kitendo ambacho baadhi ya mashabiki walimwona kweli jamaa sasa ameshaanza kuwa chizi.
Wakati akiwa anafanya Show baada ya mzuka kumpanda Chid alichafua hali ya hewa baada ya kuzama mfukoni na kutoka Bonge la kipisi cha Bangi kilichoshiba na kukiwasha pale pale jukwaani bila hata Uwoga...
Hapo ndipo Baunsa wa Maisha kabla akambadilikia kama Mbogo na kumpora hiyo bangi ili asiendelee kuivuta. Kitendo hicho cha kuvuta bangi Club kimeshushia heshima Msanii huyo ambaye ni kioo cha Jamii.
 
chidi+benz.JPG
Hapo Chidi Benz akiwa kashikiwa bangi na Shabiki wake na kutoa kibiriti cha gesina kuiwasha kama unavyoona hapo
Chini benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya kitendo ambacho baadhi ya mashabiki walimwona kweli jamaa sasa ameshaanza kuwa chizi.
Wakati akiwa anafanya Show baada ya mzuka kumpanda Chid alichafua hali ya hewa baada ya kuzama mfukoni na kutoka Bonge la kipisi cha Bangi kilichoshiba na kukiwasha pale pale jukwaani bila hata Uwoga...
Hapo ndipo Baunsa wa Maisha kabla akambadilikia kama Mbogo na kumpora hiyo bangi ili asiendelee kuivuta. Kitendo hicho cha kuvuta bangi Club kimeshushia heshima Msanii huyo ambaye ni kioo cha Jamii.


Team majungu at work! akivuta bangi ukumbini wewe inakupunguzia kitu gani?
 
Team majungu at work! akivuta bangi ukumbini wewe inakupunguzia kitu gani?

Mkuu Likud, wewe ni kati ya watu ninaowaheshimu hapa jamvini. Hivi ni sahihi kwa msanii kuvuta bangi hadharani? Kumbuka bangi kwa Tanzania ni bidhaa haramu na watumiaji kwa kawaida wanavuta kwenye vificho sio hadharani.

Huyo msanii amechemsha.

Tiba
 
Mkuu Likud, wewe ni kati ya watu ninaowaheshimu hapa jamvini. Hivi ni sahihi kwa msanii kuvuta bangi hadharani? Kumbuka bangi kwa Tanzania ni bidhaa haramu na watumiaji kwa kawaida wanavuta kwenye vificho sio hadharani.

Huyo msanii amechemsha.

Tiba

Kuvuta bangi club tena usiku watu wakiwa wamelewa wanakula happy ni kitu cha kawaida sana, sema mleta mada anaonekana ndo wale wale akina osh kosh bgosh
 
chidi+benz.JPG
Hapo Chidi Benz akiwa kashikiwa bangi na Shabiki wake na kutoa kibiriti cha gesina kuiwasha kama unavyoona hapo
Chini benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya kitendo ambacho baadhi ya mashabiki walimwona kweli jamaa sasa ameshaanza kuwa chizi.
Wakati akiwa anafanya Show baada ya mzuka kumpanda Chid alichafua hali ya hewa baada ya kuzama mfukoni na kutoka Bonge la kipisi cha Bangi kilichoshiba na kukiwasha pale pale jukwaani bila hata Uwoga...
Hapo ndipo Baunsa wa Maisha kabla akambadilikia kama Mbogo na kumpora hiyo bangi ili asiendelee kuivuta. Kitendo hicho cha kuvuta bangi Club kimeshushia heshima Msanii huyo ambaye ni kioo cha Jamii.
Ni lini msanii uyo aliwahi kuwa na heshima mbele ya jamii?
 
Mkuu Likud, wewe ni kati ya watu ninaowaheshimu hapa jamvini. Hivi ni sahihi kwa msanii kuvuta bangi hadharani? Kumbuka bangi kwa Tanzania ni bidhaa haramu na watumiaji kwa kawaida wanavuta kwenye vificho sio hadharani.

Huyo msanii amechemsha.

Tiba

We nani alikuambia bangi ni haramu?kama bangi ni haramu na sigara je utasemaje
 
Alitakiwa kuwekwa chini ya ulinzi na kidhibiti chake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom