FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,081
- 1,338
Kwa heshima na taadhima, napenda kumleta kwenu mtunzi na mwimbaji bora kabisa wa muziki wa kizazi kipya, kijana na msanii Benson..
Sina maneno mazuri ya kumuongelea kijana huyu, ila nendeni yu- tubuni mkajionee maajabu yake..
Alianza na Motto Hauzimi, na sasa ana Mashallah.. Ebana eeehh.. Wenye maneno mazuri karibuni mjazililizie uzi yangu..
Sina maneno mazuri ya kumuongelea kijana huyu, ila nendeni yu- tubuni mkajionee maajabu yake..
Alianza na Motto Hauzimi, na sasa ana Mashallah.. Ebana eeehh.. Wenye maneno mazuri karibuni mjazililizie uzi yangu..