Msambwanda ni furaha ya macho tu

Msambwanda ni furaha ya macho tu

haya bhanaa
Ndio maana mara zote mi huwa napenda vi portable, kwanza huwa najipimia mwanzo mwisho misambwanda sio dili.
Hebu piga hata mahesabu madogo, je kama gesti itawaka moto msambwanda utaweza kuubeba kukimbia nao?? Lakini kiportable unakiweka begani, ndukiii

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Yani wew unaniachaga hoi kweli ngoja nikufollow
 
582061f723efec208076e5f846032d91.jpg
Makinikia

Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke bila takko huyo ni mwanaume tu
Dira linakua kanzu
Kweli kabisa, hata hao wanaotaka vimbaumbau bado unakuta wanasisitiza na tako liwepo. Hakuna hata mmoja aliyeisifu flat screen.
 
Neemaaaa za Allah.... achana kabisa na hiyo kitu... msambwanda ujue kuushughulikia bhanaaaaaa....
Wengi wanaoichukua kuishughulikia ndio shida kwao, lakini ukiijulia vimbaumbau tupa kule...
 
Misambwanda kero tupu hamna lolote zaidi ya minyama tu..ya kushika na kuangalia kwa macho..sex hovyo kabisa kwanza yanachoka mapema..mazito stail ziki zidi sana 3..wote mpo hoi..

Ila ukitaka ufaudu kugegedana chukua kimbaumbau chenye kiuno dondola..aseee utatfuna kwa stail zote..tamu sana hivyo viumbe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom