Msambwanda ni furaha ya macho tu

Msambwanda ni furaha ya macho tu

Mnawapa moyo vimbaumbau nao wanajiona sasa sio kimbaumbau kilichopitiliza mpaka ukikalalia unaona maumivu kama chaga

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
0bd0ca926c85009143603c8e4300a5f4.jpg
 
Wanaopenda Misambwanda sio vijana tu. Hata sisi wazee! Na hili halijaibuka siku hizi, liko tokea miaka ya awali.
 
Neemaaaa za Allah.... achana kabisa na hiyo kitu... msambwanda ujue kuushughulikia bhanaaaaaa....
 
Back
Top Bottom