MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Huyo wa power breakfast ni nani? Nataka nimjue ili nianze imaginations![]()
humjiu yule mdada anaetangaza powerbreakfast na kina masoud wa clouds.. olololoo!b.a.b.r.a.h
Huyo wa power breakfast ni nani? Nataka nimjue ili nianze imaginations![]()
Barbra Hassan? Ngoja nimgugo, manake namsikia tu, sauti tamu balaa..sijui muonekano wake.humjiu yule mdada anaetangaza powerbreakfast na kina masoud wa clouds.. olololoo!b.a.b.r.a.h
Kibonge balaaaaaaBarbra Hassan? Ngoja nimgugo, manake namsikia tu, sauti tamu balaa..sijui muonekano wake.
Kwenye mwenye msambwanda lazma awe bonge wengne vipotabo na kigoda kipoHahaaaaah,.. Unanjidanganya tu mazee, jaribu kipotabo uone utamu wa maisha
hahaha so upo kwa wenye viportable au? mie mpk sasa sijajua nakaa wapi!ila hapana portable sipo... hahaha mtu unaweigh 89kgs unajiitaje portable sasa heheehh!napambana kwakwel


Huyo wa power breakfast ni nani? Nataka nimjue ili nianze imaginations![]()
Ni kibonge balaaa, dah! Sikumfaham kwa sura, sauti kapewa lakini ubonge huo..lolKibonge balaaaaaa
humjiu yule mdada anaetangaza powerbreakfast na kina masoud wa clouds.. olololoo!b.a.b.r.a.h
Una kilo 89? Wewe ni shangingi![]()
hahahahaha nachekakama mazuri! na kweli mie nafit kwenye ushangingi aisee! na si unajua swag za mashangingi! anasuka nywele(weave) ukilifumua mnasukia watu wa3!bichwa hilooooooooooooooooo! Alafu sasa short chasis hatareeeeee
Barbra Hassan? Ngoja nimgugo, manake namsikia tu, sauti tamu balaa..sijui muonekano wake.
Nakiona... nakiona...Shoga angu mie kishundu kipo...kishundu in joti voice ha ha ha ha ha ha
Ahahaha nyie mnaitaji kazi ya ziada.
Nakuona... nakuonaa...hahaha so upo kwa wenye viportable au? mie mpk sasa sijajua nakaa wapi!ila hapana portable sipo... hahaha mtu unaweigh 89kgs unajiitaje portable sasa heheehh!napambana kwakwel
hahahaha had ukaione dyudyu sio chini ya lisaa !hatar sana yaan


