Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
misambwanda uwaga lazma I am she mashabiki hata uwanjani akipita Demu mwenye msambwata watu lazma waamke
Ndipo tunaposema kwamba, misambwanda ni burudani ya macho tu, ila kama Kazi murua ndani ya 6/6 watafute hawa wa kiuno cha dondora ufaidi mbunyemisambwanda uwaga lazma I am she mashabiki hata uwanjani akipita Demu mwenye msambwata watu lazma waamke
Dude lako ni dhaifuMimi mbele ya hivi vimbau mbau nachelewa sana kuliamsha dude
Oyeeeee......Vipotabo oyeeeeee!
Yangu umepataTeam Potable tupeane like za kutosha...Nakiri kamwe sijutii mwili wangu..Team Potable
Utapigwa ban oohooShoga hivi ile Assist umerejeshewa?
Sasa kingine omba mungu usikutane na msambwanda na michirizi kama ya kuungua utakimbia ufariki kabisa.Habari za kutwa wadau wa mambo yetu yaleeeee.........
Siku hizi kumeibuka Vijana wengi kupenda misambwanda, na hii imepelekea wadada wengi kutumia madawa ya kichina kuongeza makalio na wengine kupelekea kufanyiwa upasuaji.........
Wanawake wanabadilika kutokana na mahitaji ya wanaume wanachovutiwa nacho kuendana na wakati ili na wao wasiwe wanakosa mtu anayewavutia...
Nikiri wazi kabisa, misambwanda inapagawisha unapokutana nayo, usipokua makini waweza kuacha njia au ukagongwa na vyombo vya moto....
Lakini, unapohitaji kufaidi hivi viumbe, misambwanda sio dili...
Hivi viuno vya dondora hivi ndiko tunakoacha maisha na uhondo wenyewe, walah! Kiuno cha dondora kina mambo mengi mnoooo!...
Walah!Kiuno cha dondora utake style gani usipewe,... Uende goli ngapi usipewe,.....
Nilikua muumini mkubwa wa msambwanda, lakini nimegundua naibiwa,.... Nahamia mtaa wa saba!
Weka picha Agata..Leo zamu yenu vimbau mmekumbukwa!ila misambwanda oyeee..
aisee nikwambie kitu?