Msambwanda ni furaha ya macho tu

Msambwanda ni furaha ya macho tu

Attachments

  • Screenshot_20170813-144905.png
    Screenshot_20170813-144905.png
    227.9 KB · Views: 79
hahahahaha nachekakama mazuri! na kweli mie nafit kwenye ushangingi aisee! na si unajua swag za mashangingi! anasuka nywele(weave) ukilifumua mnasukia watu wa3!bichwa hilooooooooooooooooo! Alafu sasa short chasis hatareeeeee
Nakuona... nakuonaa
images
 
Habari za kutwa wadau wa mambo yetu yale,

Siku hizi kumeibuka vijana wengi kupenda misambwanda na hii imepelekea wadada wengi kutumia madawa ya kichina kuongeza makalio na wengine kupelekea kufanyiwa upasuaji.

Wanawake wanabadilika kutokana na mahitaji ya wanaume wanachovutiwa nacho kuendana na wakati ili na wao wasiwe wanakosa mtu anayewavutia.

Nikiri wazi kabisa, misambwanda inapagawisha unapokutana nayo, usipokua makini waweza kuacha njia au ukagongwa na vyombo vya moto. Lakini, unapohitaji kufaidi hivi viumbe, misambwanda sio dili.

Hivi viuno vya dondora hivi ndiko tunakoacha maisha na uhondo wenyewe, walah! Kiuno cha dondora kina mambo mengi mno.

Walah! Kiuno cha dondora utake style gani usipewe, uende goli ngapi usipewe.

Nilikua muumini mkubwa wa msambwanda, lakini nimegundua naibiwa, nahamia mtaa wa saba.
Pole sana mkuu, umerudi nyuma hatua kadhaa

Huko utakutana na mbavu tu, ukiyumba kidogo umegonga mfumpa

huenda ulikuwa unakutana na misambwanda isiyoyajua na kukupatia vizuri, tulia tafuta msambwanda hutataka tena huto tumwanamke tulitopigwa pasi

Daniel Agger
"mwanaume mashine"
 
hahaha so upo kwa wenye viportable au? mie mpk sasa sijajua nakaa wapi!ila hapana portable sipo... hahaha mtu unaweigh 89kgs unajiitaje portable sasa heheehh!napambana kwakwel
89kg? Punguza kidogo aisee, unless kama upo mrefu zaidi ya 1.75m, kama upo chini ya hapo ni shida.
 
hahaha yaan unataka useme tunakosa market so bidhaa inadorora? urongo tupu mkuu usitupoteze kwenye reli!hitaj lipopale paleee

Sio mnakosa soko, mkimuelewa mtu sio ngumu kutoa. Hawa viportable wanaringa sana. Anaweza kukulia pesa yako mpaka ukachanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom