Msamaha na Kisasi

Msamaha na Kisasi

Kuna vya kusamehe na kuna vya kwenda bumper to bumper...

Kisasi sio kizuri maana mara nyingi utalipa kisasi ila moyo hautakuwa na amani. Naamini mtu hutaka kulipa kisasi ili alipize ubaya na kubaki na amani, sasa kama amani haijapatikana, dhana nzima inakosa ithibati.

Kusamehe ni kuzuri ila tatizo ni kusamehe na kusahau, wengi hatuwezi, na kama hujasahau bado hujasamahe.

Mjukuu ukinikosea nitalipa kila baya ulilonitendea💪😅
 
Kuna vya kusamehe na kuna vya kwenda bumper to bumper...
Hapa kuna sound fulan hivi nimehisi kwenye hilo neno bumper to bumper 😊
Kisasi sio kizuri maana mara nyingi utalipa kisasi ila moyo hautakuwa na amani. Naamini mtu hutaka kulipa kisasi ili alipize ubaya na kubaki na amani, sasa kama amani haijapatikana, dhana nzima inakosa ithibati.
Ni kweli ni vema kuamua kwa kutumia akili sio hisia
Kusamehe ni kuzuri ila tatizo ni kusamehe na kusahau, wengi hatuwezi, na kama hujasahau bado hujasamahe.
Kusamehe ni sawa
Hii kusema usahau haiwezekani sio jambo unaloweza kuamua tu kwa sababu ubongo ndio hutunza kumbukumbu zote ziwe mbaya au nzuri sasa kusema usahau kabisa sijui unaweza je labda u ignore tu ila kuishi bila kinyongo kwa alie kukosea inawezekana
Mjukuu ukinikosea nitalipa kila baya ulilonitendea💪😅
Repeat again 😞
 
Kulipa kisasi siwezi.

Ukinikosea au ukanifanyia jambo baya ntaangalia mimi na wewe tupoje & tunashare nini kama michakato ya utafutaji inatulazimisha kua pamoja bas kuna baadhi ya privileges ntazipunguza kwako, kama mambo yangu yataenda vizuri uwepo usiwepo ntakupunguza/ntakutoa kwenye circle yangu vingine ntareact accordingly.

Muda mwingine maisha yana tabia ya kutupeleka kwa watu fulani ambao uliwawekea misimamo au kuwafanyia umafia hata kama walikukosea.
 
Hapa kuna sound fulan hivi nimehisi kwenye hilo neno bumper to bumper 😊

Ni kweli ni vema kuamua kwa kutumia akili sio hisia

Kusamehe ni sawa
Hii kusema usahau haiwezekani sio jambo unaloweza kuamua tu kwa sababu ubongo ndio hutunza kumbukumbu zote ziwe mbaya au nzuri sasa kusema usahau kabisa sijui unaweza je labda u ignore tu ila kuishi bila kinyongo kwa alie kukosea inawezekana

Repeat again 😞
Kusahau manake ni kumuona aliyekukosea na moyo wako ukawa mweupe usiwe na kinyongo. Swali ni je, unaweza kusamehe mjukuu?
 
Kulipa kisasi siwezi.

Ukinikosea au ukanifanyia jambo baya ntaangalia mimi na wewe tupoje & tunashare nini kama michakato ya utafutaji inatulazimisha kua pamoja bas kuna baadhi ya privileges ntazipunguza kwako, kama mambo yangu yataenda vizuri uwepo usiwepo ntakupunguza/ntakutoa kwenye circle yangu vingine ntareact accordingly.
Umeeleweka mkuu kwamba hapa unatumia zaidi akili kuangalia maslahi yako bila kuweka hisia mbele
Muda mwingine maisha yana tabia ya kutupeleka kwa watu fulani ambao uliwawekea misimamo au kuwafanyia umafia hata kama walikukosea.
That is life

Nje ya mada kwanini unapenda hii emoji ya moto 🔥
 
Kusahau manake ni kumuona aliyekukosea na moyo wako ukawa mweupe usiwe na kinyongo. Swali ni je, unaweza kusamehe mjukuu?
Naweza babu kusamehe
Ila msamaha wangu nitaotoa kama huyo mtu ana stahili
 
Inategemea na muktadha wa tukio, kuna vitu vinasameheka na vingine ni ngumu kusameheka lazima kisasi kihusike, so inategemea na muktadha wa tukio lililokusibu
 
Kwa maana hiyo wewe utapima uzito wa jambo!
Kabisa kama ni kitu Cha kawaida ambacho kinaweza kusamehewa kirahisi basi msamaha ni kitu kinachowezekana ila kama ni tukio ambalo ni kubwa kusamehe moja kwa moja inaweza kuwa kamzozo, kiasi kinakuja kwa sababu moyo umeshindwa kuhimili au kustahimili tukio ulilotendewa, Karl Marx aliwahi kusema "People as individual are not evil, but the situation or condition of life makes people to act in evil ways" . Kwahiyo kusamehe au kisasi itategemeana na situation husika
 
Kabisa kama ni kitu Cha kawaida ambacho kinaweza kusamehewa kirahisi basi msamaha ni kitu kinachowezekana ila kama ni tukio ambalo ni kubwa kusamehe moja kwa moja inaweza kuwa kamzozo, kiasi kinakuja kwa sababu moyo umeshindwa kuhimili au kustahimili tukio ulilotendewa, Karl Marx aliwahi kusema "People as individual are not evil, but the situation or condition of life makes people to act in evil ways" . Kwahiyo kusamehe au kisasi itategemeana na situation husika
Safii umeeleza vizuri sana chukua 👏👏
 
Back
Top Bottom