Hawana lolote hao wametuiga sisi....Katavi unaona mapendo ya watu wa kasikazini,
utofautishe na kule kwetu ambapo kila msimu wa mavuno lazima uongeze nyumba ndogo.
Mamndenyi ninakuomba baadae tukutane kule hotelini kwa ajili ya kumalizia kujadili yale masuala yanayosumbua wapenzi wengi humu jamvini kama tulivyokabidhiwa kamati ba Baba V
Room number ni ile ile uliyonikuta na jeneneke mke wa Ronn M last weekend na kama ukinikosa basi uje tulikokuwa na wewe ijumaa
Erickb52 simuogopi Ronn M naheshimu utu wangu naona na yeye umeamua kumpakazia ngoja niwaache waje kujitetea wenyewe
jeneneke mi sikuharibii ila naongea ukweli meeen
acha kumwogopa Ronn M coz hata yeye niliwahi kumkuta Sisi kwa Sisi Guest House akitoka na BADILI TABIA
Bora umepatikana, watu walishindwa kulala ati Mamndenyi!!
Erickb52 unajua uhusiano wama love Ronn M na aunt BADILI TABIA lakini?shauri zako yatakayokukuta me simo
Hahahaah! Kumbe naingizwa mkenge...!wewe katavi, mamndenyika anakuingiza mkenge nawe wakubali?
halafu katavi kama vipi nikuachie? Funguka tu. Si unajua wako wengi sana?
halafu katavi kama vipi nikuachie? Funguka tu. Si unajua wako wengi sana?
Aisee utakuwa umefanya jambo la maana sana, maana namzimia vibaya mno japo yeye hajui. Kama vipi mpotezee tu nijisogeze...lol..!!