Mamndenyi ninakuomba baadae tukutane kule hotelini kwa ajili ya kumalizia kujadili yale masuala yanayosumbua wapenzi wengi humu jamvini kama tulivyokabidhiwa kamati ba Baba V
Room number ni ile ile uliyonikuta na jeneneke mke wa Ronn M last weekend na kama ukinikosa basi uje tulikokuwa na wewe ijumaa
mamndenyinakuzia@yahoo.com. nikinywa maji nakuona kwenye glass, hak'ya Mungu tena. mia
22. 08. 1949 nimekupita kwa miezi 4 na siku 9. Me ni size yako kabisa mwandani wangu.
Over my dead body kweli Erick52 unataka kuniharibia baada ya juhudi zote kushindikana?lo it will never happen siwezi kumsaliti kipenzi cha rohoyangu Ronn M narudia tena.
ohoo...... Kuna haja ya kumgeuza mtu kuwa snail sasa. Katavi na wewe tena?
me kama ni fweza njoo tutumie. Halafu nitaenda abroad soon kama vipi twende just 40 days in norway.
anatafutwa kwa kosa gani jama....?
He Mamndenyi hata wewe unamtete kijana mkware?tumekwisha,hapo ilikuwa beach tunabarizi na friends sasa beach ni gest Mamndenyi?kibo!mmmh, sasa hapa ulikuwa unafanya nini.
nitumie details zako na passport # ili ni-send ubalozini kwa ajili ya visa. Fanya chap kama uko siriaz au ni pm nikujuze.
jeneneke mi sikuharibii ila naongea ukweli meeenOver my dead body kweli Erick52 unataka kuniharibia baada ya juhudi zote kushindikana?lo it will never happen siwezi kumsaliti kipenzi cha rohoyangu @Ronn M narudia tena.
jeneneke... Me siyo kijana na siyo mkware ntake razi sasa hivi.