Realistically, wenye akili wanategemea as soon as possible umuite Amos Makala na kumkanya na kumpa onyo publically atoe maelezo na ushahidi wa hiki alichokisema. Short of that hutaeleweka.
Soma
Soma
He should be sued for fatal/ lithal defarmation of opponent partyRealistically, wenye akili wanategemea as soon as possible umuite Amos Makala na kumkanya na kumpa onyo publically atoe maelezo na ushahidi wa hiki alichokisema. Short of that hutaeleweka.
Yes, chadema shall prosecute him for defermation. Ngoja niangalie sheria inasemaje!He should be sued for fatal defarmation of oponent
Tutaenda siku hata kwa zile zitakazorekebishwa na babuYes, chadema shall prosecute him for defermation. Ngoja niangalie sheria inasemaje!
Ila kwa mahakama zipi? Za Juma? Hapana!
Ikiwa hivyo hata siku moja dia la kuku lisemwalo halimpati mwewe ataweza kupatwa siku isiyo na jina.Hawezi Kumgusa Amos
Endapo Akiweza Kufanya Hivyo Ajue Yatamkuta Ya Assad Wakati Akiwa CAG
Mungu Ataamua Huu Ugomvi Maana Hao Jamaa Wanajiona Wapo Juu Ya VyoteIkiwa hivyo hata siku moja dia la kuku lisemwalo halimpati mwewe ataweza kupatwa siku isiyo na jina.
Kuna tofauti kidogo hapa. Kauli ya No Reform, No Election ni msimamo rasmi wa CHADEMA. Kauli ya Makalla ni kauli ya mvutabangi mmoja who happens to be a CCM operative. Huyu anastahili kuisaidia police kwa kuwa madai aliyotoa yanahusisha kosa la jinai.Realistically, wenye akili wanategemea as soon as possible umuite Amos Makala na kumkanya na kumpa onyo publically atoe maelezo na ushahidi wa hiki alichokisema. Short of that hutaeleweka.
Soma Pre GE2025 - CHADEMA wakiongozwa na John Mnyika waitikia wito wa kufika kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Kwani umeshayapata mawazo ya chawa wabobezi?Nani atamfunga Paka kengele