Katika gazeti la Mwananchi la leo juu ya habari inayohusu vurugu iliyotokea jana kwenye public hearing ya mswada wa sheria ya marejeo ya katiba kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam Bw.Tendwa anasema kuwa kuna vijana waliandaliwa kufanya vurugu zilizofanyika.
Je, Tendwa ana ushahidi wa hiyo kauli yake? Au naye ni mmoja wa wanapropagangda wa CCM?
Ndugu wana JF tunaomba mtu huyu afuatiliwe ili atoe maelezo ya kina kuhusiana na hiyo kauli yake,tunaomba waandishi wa habari wamfuate ili wananchi wapate kujua ni waliwaandaa hao vijana ili wafanye fujo ikiwezekana hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao maana siamini mtu mwenye upeo mkubwa kama John Tendwa anaweza kutoa kauli kama hiyo kuwa na ushahidi.
Source: Mwananchi 08/04/2011
"TANZANIA NAKUPENDA, TANZANIA NCHI YANGU, NITAKUTUMIKIA KWA MOYO WOTE NA
SITAKUSALITI KAMWE.MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRIKA"
Je, Tendwa ana ushahidi wa hiyo kauli yake? Au naye ni mmoja wa wanapropagangda wa CCM?
Ndugu wana JF tunaomba mtu huyu afuatiliwe ili atoe maelezo ya kina kuhusiana na hiyo kauli yake,tunaomba waandishi wa habari wamfuate ili wananchi wapate kujua ni waliwaandaa hao vijana ili wafanye fujo ikiwezekana hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao maana siamini mtu mwenye upeo mkubwa kama John Tendwa anaweza kutoa kauli kama hiyo kuwa na ushahidi.
Source: Mwananchi 08/04/2011
"TANZANIA NAKUPENDA, TANZANIA NCHI YANGU, NITAKUTUMIKIA KWA MOYO WOTE NA
SITAKUSALITI KAMWE.MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRIKA"