Kwani katiba inasemaje!?Kupitia ukurasa wao wa tweeter, jeshi la Polisi Tanzania wameandika
"Leo 23/09/2021 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini akutana na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dodoma"
Naona Msajili leo amekutana na Tawi la CCM, Kazi iendeleeKupitia ukurasa wao wa tweeter, jeshi la Polisi Tanzania wameandika
"Leo 23/09/2021 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini akutana na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dodoma"
Haitokugharimu chochote usipotumia hilo neno baya "WAPUUZI".ukitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka
uko nje ya mada, hii fungulia thread yake.ukitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka
Halafu??? What next??? Inaonyesha walivyo weupe hata kwenye kutoa taarifa.Kupitia ukurasa wao wa tweeter, jeshi la Polisi Tanzania wameandika
"Leo 23/09/2021 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini akutana na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dodoma"
Ni jambo jema kabisa ,siyo lile la kuwakutanisha polisi na vyama vya siasa. Sasa aje atuambie wamekubaliana nini,kabla ya kikao chake na vyama vya siasa.Kupitia ukurasa wao wa tweeter, jeshi la Polisi Tanzania wameandika
"Leo 23/09/2021 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini akutana na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dodoma"
Kama kichwa kinavyojieleza ndivyo ilivyokuwa , Japo Taarifa za awali zilisema kwamba Msajili wa vyama vya siasa ndio angekutana na Jeshi la Polisi ila sasa imekuwa kinyume chake kutoka na mazingira ya Mkutano huo kufanyika kwenye Ukumbi wa Polisi Dodoma , Haukufanyika kwenye ofisi za Msajili , hii maana yake ni kwamba Mutungi ndiye aliyealikwa , na bila shaka yeye hakuwa na Ajenda , bali Polisi ndiyo waliokuwa na ajenda
View attachment 1949745View attachment 1949746View attachment 1949747