Msajili wa Vyama vya Siasa akutana na Maafisa Wakuu Jeshi la Polisi

mshale21

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
2,049
4,904
Kupitia ukurasa wao wa tweeter, jeshi la Polisi Tanzania wameandika

"Leo 23/09/2021 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini akutana na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dodoma"

IMG_20210923_112639.jpg
IMG_20210923_112620.jpg
 
Kama kichwa kinavyojieleza ndivyo ilivyokuwa , Japo Taarifa za awali zilisema kwamba Msajili wa vyama vya siasa ndio angekutana na Jeshi la Polisi ila sasa imekuwa kinyume chake kutoka na mazingira ya Mkutano huo kufanyika kwenye Ukumbi wa Polisi Dodoma , Haukufanyika kwenye ofisi za Msajili , hii maana yake ni kwamba Mutungi ndiye aliyealikwa , na bila shaka yeye hakuwa na Ajenda , bali Polisi ndiyo waliokuwa na ajenda

FB_IMG_1632407504090.jpg
FB_IMG_1632407510229.jpg
FB_IMG_1632407517796.jpg
 
Kama kichwa kinavyojieleza ndivyo ilivyokuwa , Japo Taarifa za awali zilisema kwamba Msajili wa vyama vya siasa ndio angekutana na Jeshi la Polisi ila sasa imekuwa kinyume chake kutoka na mazingira ya Mkutano huo kufanyika kwenye Ukumbi wa Polisi Dodoma , Haukufanyika kwenye ofisi za Msajili , hii maana yake ni kwamba Mutungi ndiye aliyealikwa , na bila shaka yeye hakuwa na Ajenda , bali Polisi ndiyo waliokuwa na ajenda

View attachment 1949745View attachment 1949746View attachment 1949747

CCM imekutana na UVCCM
 
Back
Top Bottom