Its a last kick of the dying donkey.Hapo wanapambana kusawazisha bao la kutojua pgo walilojifunga kupitia kingai! Dk za nyongeza!
Mwanamke hawezi kujiremba akarembeka bila kioo cha kutazama kirakacho mpa muonekano halisi wa sura yake.Ukitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka
Kikao kilipoa sanaUkitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka
Hapo yanatafutwa mazingira kubana zaidi shughuli za vyama ya siasa, maana Sasa hakuna sheria ya kuzuia vyama vya siasa kufanya mikutano ie eti uchaguzi ukiisha hakuna mikutano ya kisiasa kwa vyama vya siasa labda vile vyenye uwakilishi maana yake kuwabana wapinzani wasifanye shughuli za kisiasa Sasa hapo utajiuliza hivi vyama ni wakati gani vitashawishi wanachama wapya, itakuweje kwenye kutoa elimu ya uraia,vipi kuiamsha serikali inapokua imelala kwenye masuala ya ufisadi, ubadhirifu na uwajibikaji.
Tanzania tukikubali tupelekwe wanapotaka tufike tuwe na chama dola na vyama vya upinzani visivyo na meno ndio mwanzo wa mwisho wa Tanzania ya ahadi itakua ni shamba la bibi, maana CCM ndiko yamejaa majizi na wenyewe wanajua ndio maana wanatumia nguvu kubwa kudhoofisha upinzani.
Sioni mantiki ya msajili wa vyama vya siasa kukutana na polisi wakati sheria ziko wazi, polisi hana uhalali wa kuwazuia wanasiasa kufanya kazi zao na msajili kazi yake kusajili vyama vya K
Kama Chama tawala, CCM huwa wanafanya sana hafla tofauti tofauti kwa madhumuni ya kuwafikia wananchi kwa kueleza maendeleo au ahadi ambazo serikali inatoa kwa wananchi. Mikutano ya hadhara ni ya kawaida sana kwao, vyombo vya habari vinatumika sana kueleza itikadi zao. Ukiangalia upande wa pili utagundua kwamba vyama vya upinzani havipati nafasi hizi za kujieleza kwa wananchi na kufanya shughuli zao za uenezi. Nina amini kwamba kama shughuli zinafanywa kwa amani basi ni muhimu na sawa kwao kupata fursa hizi.Hapo yanatafutwa mazingira kubana zaidi shughuli za vyama ya siasa, maana Sasa hakuna sheria ya kuzuia vyama vya siasa kufanya mikutano ie eti uchaguzi ukiisha hakuna mikutano ya kisiasa kwa vyama vya siasa labda vile vyenye uwakilishi maana yake kuwabana wapinzani wasifanye shughuli za kisiasa Sasa hapo utajiuliza hivi vyama ni wakati gani vitashawishi wanachama wapya, itakuweje kwenye kutoa elimu ya uraia,vipi kuiamsha serikali inapokua imelala kwenye masuala ya ufisadi, ubadhirifu na uwajibikaji.
Tanzania tukikubali tupelekwe wanapotaka tufike tuwe na chama dola na vyama vya upinzani visivyo na meno ndio mwanzo wa mwisho wa Tanzania ya ahadi itakua ni shamba la bibi, maana CCM ndiko yamejaa majizi na wenyewe wanajua ndio maana wanatumia nguvu kubwa kudhoofisha upinzani.
Sioni mantiki ya msajili wa vyama vya siasa kukutana na polisi wakati sheria ziko wazi, polisi hana uhalali wa kuwazuia wanasiasa kufanya kazi zao na msajili kazi yake kusajili vyama vya siasa
Hujui ulisemaloUkitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka
Shida nadhani ni kutoelewa Demokrasia ndio maana hivi vyama ambavyo havina dola vinaitwa vya upinzani badala ya kuwa vyama mbadala, wanasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya kwaiyo wamekomaa na jina la upinzani ili ionekane kila wanachofanya wao ni kupinga tu kumbe sio kweli kazi ya hivi vya visivyo na dola kazi yake ni kutoa mawazo, dira, sera na mitazamo mbadala kitu ambacho ni kizuri kwa maendeleoKama Chama tawala, CCM huwa wanafanya sana hafla tofauti tofauti kwa madhumuni ya kuwafikia wananchi kwa kueleza maendeleo au ahadi ambazo serikali inatoa kwa wananchi. Mikutano ya hadhara ni ya kawaida sana kwao, vyombo vya habari vinatumika sana kueleza itikadi zao. Ukiangalia upande wa pili utagundua kwamba vyama vya upinzani havipati nafasi hizi za kujieleza kwa wananchi na kufanya shughuli zao za uenezi. Nina amini kwamba kama shughuli zinafanywa kwa amani basi ni muhimu na sawa kwao kupata fursa hizi.
Ni kuangalua wapinzani wanasemaje au kuangalia katiba na sheria zinasemaje?Ukitaka uendeshe nchi kwa kusikiliza wapinzani wa serikali wanasemaje lazima upotee mama endelea kuchapa kazi hao wapuuzi wacha wasemeee mpaka watachoka