Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini.Amesema anaamini msajili ataendelea kumpa ushirikiano mpaka pale Chadema watakapokuwa katika mstari.

Souce:UHURU
..mjinga Mwigamba....yeye ahangaike na chama chake kipya.....yanayotokea chadema yeye anayasemea ya nini?...hivi nchi hii imefikia hapa?kwamba vyama vya upinzani vimehujumiwa na watawala mithili ya kugeuka na kuanza kupingana venyewe kwa venyewe???alafu bado watanzania mnategemea ukombozi wa taifa hili uletwe na vyama???no way.....


....kwa mtindo huu wa siasa hizi taka taifa hili halitakombolewa na vyama hivi venye viongozi wanaowapinga waziwazi wenzao wa upinzani....huu ni uchizi mkubwa.....na watawala wanashangilia.....hawa kina mwigamba waganga njaa wala hawalioni hili....
 
Ukiuliza hata watu 100 haraka haraka Dar kuwa Mwigamba ni nani,95% watasema hawamfahamu,achilia mbali vijijini.
Kwa hiyo sishangai kusikia Mwigmba na wasaliti wenzake kutafuta promo ktk vyombo vya habari.
 
Kamanda makene endelea kuyapa
dozi hayo magamba yalioishiwa mbinu yamebakiza kuhonga rushwa mpaka madhabahuni,,,duuuu majambaz ccm na wasaliti watajinyonga kama yuda isolationist.
 
Nikianza ku-recall message za mwigamba tokea mwaka 2005 kupitia gazeti la Tanzania Daima na ninaponlinganisha na mwigamba huyu wa sasa hivi najihisi kama sikuwepo nchini for sometimes, yaani ni 2 tofauti kabisa! Hivi si ipo makala 1 aliyoandika kuhusiana na hayo mabadiriko ya katiba miaka kadhaa huko nyuma, tena kupitia gazeti la Tanzania Daima? Unaweza kudhani ccm wanayo technology ya ku-hack hata akili za watu aise! Mwigamba?
 
..mjinga Mwigamba....yeye ahangaike na chama chake kipya.....yanayotokea chadema yeye anayasemea ya nini?...hivi nchi hii imefikia hapa?kwamba vyama vya upinzani vimehujumiwa na watawala mithili ya kugeuka na kuanza kupingana venyewe kwa venyewe???alafu bado watanzania mnategemea ukombozi wa taifa hili uletwe na vyama???no way.....


....kwa mtindo huu wa siasa hizi taka taifa hili halitakombolewa na vyama hivi venye viongozi wanaowapinga waziwazi wenzao wa upinzani....huu ni uchizi mkubwa.....na watawala wanashangilia.....hawa kina mwigamba waganga njaa wala hawalioni hili....

Mkuu wangu Kibaraka Mwigamba haongozi chama cha upinzani.Anaongoza Tawi la CCM linaitwa ACT
 
Ukiuliza hata watu 100 haraka haraka Dar kuwa Mwigamba ni nani,95% watasema hawamfahamu,achilia mbali vijijini.
Kwa hiyo sishangai kusikia Mwigmba na wasaliti wenzake kutafuta promo ktk vyombo vya habari.

Tena chombo chenyewe UHURU
 
Kamanda makene endelea kuyapa
dozi hayo magamba yalioishiwa mbinu yamebakiza kuhonga rushwa mpaka madhabahuni,,,duuuu majambaz ccm na wasaliti watajinyonga kama yuda isolationist.

Mwisho wa vibaraka na maadui wa demokrasia kama Mwigamba na Kitila mwisho wao huwa mbaya sana!
 
Nikianza ku-recall message za mwigamba tokea mwaka 2005 kupitia gazeti la Tanzania Daima na ninaponlinganisha na mwigamba huyu wa sasa hivi najihisi kama sikuwepo nchini for sometimes, yaani ni 2 tofauti kabisa! Hivi si ipo makala 1 aliyoandika kuhusiana na hayo mabadiriko ya katiba miaka kadhaa huko nyuma, tena kupitia gazeti la Tanzania Daima? Unaweza kudhani ccm wanayo technology ya ku-hack hata akili za watu aise! Mwigamba?

Mkuu wangu Tamaa ya pesa inauza utu wa mtu kabisa.
 
malengo ya act yalishafeli na mwigamba amefeli anajifariji na msajili kuwa ataihukumu cdm .cdm itabaki imara na mud a uliopo si Wa kuhangaika na mwigamba tunamtaka aliyekutuma .ila pole cdm Ina mungu
 
Mwingamba tangu ameisaliti CDM hadhi hake imepotea...


Mwigamba hajawahi kuwa na hadhi yeyote ya kuweza kuipoteza. Ni sawa na unasema pedi iliyotumika ipoteze hadhi hadhi ipi? Acha kutuvuruga!
 
Wenye mamlaka na Katiba ya CHADEMA ni Chadema wenyewe kupitia vikao hasa Mkutano Mkuu.

Chadema itaendelea kuendeshwa kwa umakini wa kuzingatia misingi ya chama hasa Katiba ya Chama.

Chadema haiwezi kuendeshwa kwa ushauri wala kauli zisizo na msingi wowote kutoka kwa Msajili.

Kama CCM na vibaraka wao wanamuogopa Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Slaa, wanastahili pole.

Wenye kujua yupi ana sifa za kugombea na yupi hana, ni wanaCHADEMA kupitia vikao vyao vya Baraza Kuu na Mkutano Mkuu.

Eti kiongozi wa chama kinachojaribu kujionesha kuwa cha upinzani, ananukuliwa kwenye Gazeti la CCM akijivuna kupambana na Chama Kikuu cha Upinzani nchini, kisha mtu huyo huyo na wenzake wakiambiwa wanafanya kazi ya CCM wanang'aka! What a controversy.

Hii nayo ni facts zaidi

Magamba wanatapatapa baada ya CHADEMA kuendelea kuwakalia kooni na kuibua tuhuma mbalimbali za ufisadi zinazofanywa na makada wa CCM na viongozi wandamizi wa serikali huku wananchi wakikosa huduma muhimu za kijamii. Magamba wasidhani kwamba watanzania wa leo ni kama wale wa mwaka 47...wakae wakijua kwamba kila mtanzania mwenye akili timamu anafahamu kwamba wanaiogopa CHADEMA kwa kuwa ni chama ambacho kimedhamiria kuleta mabadiliko chanya kwa wananchi badala ya CCM ambao wamekuwa wakiwanyonya wananchi tangu nchi ipate uhuru mpaka leo. Deni la taifa limezidi kukuwa, huduma za kijamii zimedorora sana na maisha ya watanzania walalahoi yamezidi kudidimia mwaka hadi mwaka.

Kwa hiyo, watanzania wenzangu, mnapaswa kufahamu kwamba CCM ina nia mbaya juu ya maisha ya wananchi (isipokuwa mafisadi wachache ndani ya CCM na serikali. Ndio maana wanatafuta kila njia kuivuruga Chadema na safari hii wameamua kumtumia kada wao, Jaji Mutungi, kuichokonoa Chadema ili waelekeze nguvu zao kwenye chama zaidi kuliko kuwakomboa wananchi kutoka utumwa wa miaka 54 ya utawala wa CCM. Kuweni makini sana na harakati hizi ovu za kuvuruga chama cha ukombozi, CHADEMA, kwa maslahi ya mafisadi wachache ndani ya CCM na serikali ambao wanapenda kuona matumbo yao yakituna kila kukicha huku wananchi wakizidi kukondeana kama ng'onda!!!!!!!

CCM wataiua nchi.jpg bajeti--serikali+wananchi.jpg


huduma safi.jpg wanafunzi wamekalia udongo.jpg


maisha bora-masikini wa kutupwa.jpg
 

Attachments

  • bajeti haikidhi.jpg
    bajeti haikidhi.jpg
    27.4 KB · Views: 32
Ongeza na lingine la 5.Kwanini Mwenyekiti wa CCM anakuwa mgombea pekee na hana mpinzani?
Zitto alipotaka kugombea uenyekiti hakuzuiwa na mliowaita "wazee"?
Chacha wangwe alipotaka kugombea akasimamishwa uongozi na kesi juu.
 
Back
Top Bottom