Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Molemo
Mijamaa ya Lumumba ukiipa fact inasepa,hii ni aibu,yameua Think tak imebaki mipiga dili tu ,huku kwetu m/ kiti aliuza eneo la kuzikia,just imagine hao ndio wanaccm wenye uchungu na nchi hii

Mkuu xenaxena wanachadema wameamua na kula kiapo kwamba watawalinda Mashujaa Mbowe na Dr Slaa hata kwa gharama za damu zao!
 
Last edited by a moderator:
Na niwakumbushe tu m/ kiti wa ACT amefukuzwa chadema,katibu amefukuzwa CUF( ADC), mshauri aitwae msomi amefukuzwa chadema
Watu walioshindwa kutumia elimu yao kutatua migogoro nsani ya vyama vyao( kama ipo) ,watu wanaoshindwa kuheshimu uongozi wa juu,utawapaje uongozi wa nchi?
Mwigamba kusimamishwa uchair ukahama chama,Limbu ( pamoja na kaka yako wa ccm aliyeshinswa hata kujenga rami kutoka Magu hadi mahaza km0.5) ,uliponyimwa uongozi ukaanzisha ADCmliposhindana na m/ kiti wako umeenda ACT ,ninyi hamna tofauti na mchezaji wa netiboll GA

mazuzu mnajifariji
 
Huyu Mwigamba Si Ameshaondoka Chadema?? Sasa Inamhusu Nini?? Atuachie Chadema Yetu, Haimhusu Na Hizo Njaa Njaa Zake
 
Makamanda Wote Wenye Nia Njema Na Inchi Yetu Naomba Tusonge Mbele, Hizi Ni Kerere Tu Za Chura..
 
Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini.Amesema anaamini msajili ataendelea kumpa ushirikiano mpaka pale Chadema watakapokuwa katika mstari.

Souce:UHURU
Ha haa haaaa haaaaaa!! Bora usingeweka hiyo source. Mwigamba siku hizi ananukuliwa na gazeti la Uhuru!? Kweli nchi ngumu hii!
 
Tumaini

Inaashiria wewe una kichwa kigumu sana na sio mwepesi kuelewa jambo. Napata shaka juu ya uhalali wako wa kuifanyia kazi CHADEMA.

Kitu ambacho Mwigamba anasema ni kwamba, pamoja na kwamba yeye sio mwanachama wenu, lakini atahakikisha anayasema madhaifu ya CHADEMA kwa maslahi ya demokrasia.

Badala ya kutumia nguvu nyingi kukwepa hoja ya Mwigamba na kumtuhumu kuwa anatumiwa na CCM. Nadhani ni vyema nyinyi kama wana CHADEMA mkafanya jambo sahihi tu, it's simple.

Kama mnataka kuhalalisha utawala wa kifalme wa bwana Mbowe, angalau mfanye hivyo kwa njia halali zinazo kubalika. Sio mfanye mambo kinyemela.

Vikao halali vikae kupitisha hicho kipengere, na kama kikipita, basi msajili apatiwe muhtasari wake. Hilo likifanyika, hakuna atakae ibua tena hoja ya hicho kipengere.
hamy- D

Hatuna kitu cha kupeleka ofisini kwa Msajili.

Kazi yake kubwa hapa 'mjini' ni kusajili vyama vya siasa vilivyokidhi masharti. Period.

Majukumu mengine anayojivika ya kutaka kutumika kufanya propaganda dhidi ya CHADEMA, awaachie CCM wenyewe na vibaraka wake kama huyu kwenye thread.
 
Last edited by a moderator:
hamy- D

Hatuna kitu cha kupeleka ofisini kwa Msajili.

Kazi yake kubwa hapa 'mjini' ni kusajili vyama vya siasa vilivyokidhi masharti. Period.

Majukumu mengine anayojivika ya kutaka kutumika kufanya propaganda dhidi ya CHADEMA, awaachie CCM wenyewe na vibaraka wake kama huyu kwenye thread.

Pamoja sana Tumaini Makene.Asante kwa ufafanuzi makini
 
Last edited by a moderator:
Ha haa haaaa haaaaaa!! Bora usingeweka hiyo source. Mwigamba siku hizi ananukuliwa na gazeti la Uhuru!? Kweli nchi ngumu hii!

Ananukuliwa Na gazeti la mwajiri wake.Hakuna gazeti makini linaloweza mnukuu kibaraka kama huyu
 
Back
Top Bottom