.
mi nilidhani lengo la ACT NI KUSHIKA DOLA kama ilivyo kwa vyama thabit vya siasa.kumbe lengo la Act ni kufuatilia nyendo za chadema,na kwa malengo haya act hakitufai maana watanzania wanataka chama kinachoweza kuwa mbadala wa ccm.kwanini wamsakame mbowe na uwenyekiti wake ndani ya chadema maana kama ni uwenyekit kabla mbowe hajawa m/kit prof lipumba alikuwa /cuf,cheyo alikuwa m/kiti udp nk.sasa kwa nini mbowe uwenyekiti wake iwe nongwa kwa Act au ndio sera zao zinavyosema kwamba chadema kwanza ACT BAADAE.
Task waliyopewa na mabwana zao wakati wanasajili ACT ni kuhakikisha wanamuondoa Mbowe na Dr Slaa kwenye siasa.
Hawatafanikiwa katu!