Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Kutumika kubaya sana,kama alishindwa kutunza siri ya kuwa na ule waraka wa mabadiliko mpk ukaja kushikwa umakini wake nautialia shaka sana

Huyu ni mzuri kwa matumizi ya papo kwa hapo ila ya badaye hafai

Na kweli ule waraka wake kuvuja ulimuumbua sana.

Sidhani kama washirika wake Zitto na Kitila wanamuamini tena! Hapa wanamtumia tu lakini baadaye watamfukuza kama mbwa
 
vigazeti vya udaku bana bila kuandika habari ya CDM havimalizi siku.

kama ilivyo kwa masheikh,mapadri,maimamu na maaskofu bila kumkemea shetani,ibada haiwezi kukamilika
 
Sasa we Mwigamba Chadema inakuhusu nini wakati uko kwenye Chama chako cha ACT-Tanzania. Jengeni Chama Chenu wananchi wawaelewe ili nanyie siku moja mje mshike dola Chadema wapo kujenga Chama chao ili kupambana na CCM na wanategemea siku moja washike dola, sasa wewe kila siku ni Chadema Chadema. Ndiyo maana ulitimuliwa kwa sababu malengo yako hayakuwa ni kujenga Chama bali kubomoa.Na siwaelewi kama nyie ni chama cha siasa chenye Mlengo wa kuchukua nchi ila naona kama mpo kwa ajili ya kuisadia CCM na wenye akili waliwatimua

Kwa sasa hakuna mwananchi ambaye anaweza kuwaamini Tena mnatumika.
 
Sasa mwenye macho ambiwi Tazama hivi huyo atabisha kweli yeye si kibaraka wa ccm? Wampe kazi kabisa kwenye gazeti la uhuru ili waeze kujazana ujinga. Pilipili si yako inakuwashia nini
 
Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini

Source:UHURU Jumatano

hakika kumbe kufukuzwa kwako toka chadema kunakuumiza sana kaka.ni kwanini usizidi kuibua hoja na mbinu zakuimarisha chama chako cha ACT?maana kuibua madudu ya chadema hakutakusaidia lolote kwenye medani ya siasa.
 
Mipango na mikakati ya Mzee Kinana ni hatari sana...wakija kustuka CCM watakuwa magogoni wanapunga upepo kwa awamu nyingine....
 
Wenye mamlaka na Katiba ya CHADEMA ni Chadema wenyewe kupitia vikao hasa Mkutano Mkuu.

Chadema itaendelea kuendeshwa kwa umakini wa kuzingatia misingi ya chama hasa Katiba ya Chama.

Chadema haiwezi kuendeshwa kwa ushauri wala kauli zisizo na msingi wowote kutoka kwa Msajili.

Kama CCM na vibaraka wao wanamuogopa Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Slaa, wanastahili pole.

Wenye kujua yupi ana sifa za kugombea na yupi hana, ni wanaCHADEMA kupitia vikao vyao vya Baraza Kuu na Mkutano Mkuu.

Eti kiongozi wa chama kinachojaribu kujionesha kuwa cha upinzani, ananukuliwa kwenye Gazeti la CCM akijivuna kupambana na Chama Kikuu cha Upinzani nchini, kisha mtu huyo huyo na wenzake wakiambiwa wanafanya kazi ya CCM wanang'aka! What a controversy.

Hii nayo ni facts zaidi

Tumaini

Inaashiria wewe una kichwa kigumu sana na sio mwepesi kuelewa jambo. Napata shaka juu ya uhalali wako wa kuifanyia kazi CHADEMA.

Kitu ambacho Mwigamba anasema ni kwamba, pamoja na kwamba yeye sio mwanachama wenu, lakini atahakikisha anayasema madhaifu ya CHADEMA kwa maslahi ya demokrasia.

Badala ya kutumia nguvu nyingi kukwepa hoja ya Mwigamba na kumtuhumu kuwa anatumiwa na CCM. Nadhani ni vyema nyinyi kama wana CHADEMA mkafanya jambo sahihi tu, it's simple.

Kama mnataka kuhalalisha utawala wa kifalme wa bwana Mbowe, angalau mfanye hivyo kwa njia halali zinazo kubalika. Sio mfanye mambo kinyemela.

Vikao halali vikae kupitisha hicho kipengere, na kama kikipita, basi msajili apatiwe muhtasari wake. Hilo likifanyika, hakuna atakae ibua tena hoja ya hicho kipengere.
 
Last edited by a moderator:
Sasa mwenye macho ambiwi Tazama hivi huyo atabisha kweli yeye si kibaraka wa ccm? Wampe kazi kabisa kwenye gazeti la uhuru ili waeze kujazana ujinga. Pilipili si yako inakuwashia nini

Well Noted mkuu.
 
Tumaini

Inaashiria wewe una kichwa kigumu sana na sio mwepesi kuelewa jambo. Napata shaka juu ya uhalali wako wa kuifanyia kazi CHADEMA.

Kitu ambacho Mwigamba anasema ni kwamba, pamoja na kwamba yeye sio mwanachama wenu, lakini atahakikisha anayasema madhaifu ya CHADEMA kwa maslahi ya demokrasia.

Badala ya kutumia nguvu nyingi kukwepa hoja ya Mwigamba na kumtuhumu kuwa anatumiwa na CCM. Nadhani ni vyema nyinyi kama wana CHADEMA mkafanya jambo sahihi tu, it's simple.

Kama mnataka kuhalalisha utawala wa kifalme wa bwana Mbowe, angalau mfanye hivyo kwa njia halali zinazo kubalika. Sio mfanye mambo kinyemela.

Vikao halali vikae kupitisha hicho kipengere, na kama kikipita, basi msajili apatiwe muhtasari wake. Hilo likifanyika, hakuna atakae ibua tena hoja ya hicho kipengere.

Ficha upumbavu wako lakini usifiche hekima yako.

Mbona huyu kibaraka wa CCM hatafuti madhaifu kwenye chama cha CCM?

Huna hadhi ya kujibizana na Tumaini Makene usijitafutie umaarufu usiokuwa nao!
 
Last edited by a moderator:
Wenye mamlaka na Katiba ya CHADEMA ni Chadema wenyewe kupitia vikao hasa Mkutano Mkuu.

Chadema itaendelea kuendeshwa kwa umakini wa kuzingatia misingi ya chama hasa Katiba ya Chama.

Chadema haiwezi kuendeshwa kwa ushauri wala kauli zisizo na msingi wowote kutoka kwa Msajili.

Kama CCM na vibaraka wao wanamuogopa Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Slaa, wanastahili pole.

Wenye kujua yupi ana sifa za kugombea na yupi hana, ni wanaCHADEMA kupitia vikao vyao vya Baraza Kuu na Mkutano Mkuu.

Eti kiongozi wa chama kinachojaribu kujionesha kuwa cha upinzani, ananukuliwa kwenye Gazeti la CCM akijivuna kupambana na Chama Kikuu cha Upinzani nchini, kisha mtu huyo huyo na wenzake wakiambiwa wanafanya kazi ya CCM wanang'aka! What a controversy.

Hii nayo ni facts zaidi

Mmejitakia wenyewe.

Muda huu mnaupoteza badala ya kujenga chama mnasolve migogoro.

Kuja kutamalaki 2015 hii hapa.

Poleni sana.
 
Mmejitakia wenyewe.

Muda huu mnaupoteza badala ya kujenga chama mnasolve migogoro.

Kuja kutamalaki 2015 hii hapa.

Poleni sana.

Pokeni sana.Hata mbinu hii nayo mmechemsha.Mmekosea Timing!
 
Ficha upumbavu wako lakini usifiche hekima yako.

Mbona huyu kibaraka wa CCM hatafuti madhaifu kwenye chama cha CCM?

Huna hadhi ya kujibizana na Tumaini Makene usijitafutie umaarufu usiokuwa nao!

Sasa matusi ya nini si mjibu hoja??

Kama mnataka kuhalalisha hao jamaa wawe ni viongozi wa kudumu basi fanyeni kwa vikao halali.

Sio kinyemela.
 
Last edited by a moderator:
.
Tumaini

Inaashiria wewe una kichwa kigumu sana na sio mwepesi kuelewa jambo. Napata shaka juu ya uhalali wako wa kuifanyia kazi CHADEMA.

Kitu ambacho Mwigamba anasema ni kwamba, pamoja na kwamba yeye sio mwanachama wenu, lakini atahakikisha anayasema madhaifu ya CHADEMA kwa maslahi ya demokrasia.

Badala ya kutumia nguvu nyingi kukwepa hoja ya Mwigamba na kumtuhumu kuwa anatumiwa na CCM. Nadhani ni vyema nyinyi kama wana CHADEMA mkafanya jambo sahihi tu, it's simple.

Kama mnataka kuhalalisha utawala wa kifalme wa bwana Mbowe, angalau mfanye hivyo kwa njia halali zinazo kubalika. Sio mfanye mambo kinyemela.

Vikao halali vikae kupitisha hicho kipengere, na kama kikipita, basi msajili apatiwe muhtasari wake. Hilo likifanyika, hakuna atakae ibua tena hoja ya hicho kipengere.

mi nilidhani lengo la ACT NI KUSHIKA DOLA kama ilivyo kwa vyama thabit vya siasa.kumbe lengo la Act ni kufuatilia nyendo za chadema,na kwa malengo haya act hakitufai maana watanzania wanataka chama kinachoweza kuwa mbadala wa ccm.kwanini wamsakame mbowe na uwenyekiti wake ndani ya chadema maana kama ni uwenyekit kabla mbowe hajawa m/kit prof lipumba alikuwa /cuf,cheyo alikuwa m/kiti udp nk.sasa kwa nini mbowe uwenyekiti wake iwe nongwa kwa Act au ndio sera zao zinavyosema kwamba chadema kwanza ACT BAADAE.
 
Last edited by a moderator:
hakika kumbe kufukuzwa kwako toka chadema kunakuumiza sana kaka.ni kwanini usizidi kuibua hoja na mbinu zakuimarisha chama chako cha ACT?maana kuibua madudu ya chadema hakutakusaidia lolote kwenye medani ya siasa.

Yeye hayupo pale kuimarisha chama cha ACT.Yeye yupo pale na hicho chama chao cha magumashi kufanya kazi ya CCM
 
Ficha upumbavu wako lakini usifiche hekima yako.

Mbona huyu kibaraka wa CCM hatafuti madhaifu kwenye chama cha CCM?

Huna hadhi ya kujibizana na Tumaini Makene usijitafutie umaarufu usiokuwa nao!
Wewe una hadhi gani kibaraka mkubwa wa mbowe zaidi ya kufua nguo za mahawara wa mabwana zako
 
Back
Top Bottom