MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Mkuu xenaxena wanachadema wameamua na kula kiapo kwamba watawalinda Mashujaa Mbowe na Dr Slaa hata kwa gharama za damu zao!
Hawa wahuni ni mashujaa wa nini?
Mkuu xenaxena wanachadema wameamua na kula kiapo kwamba watawalinda Mashujaa Mbowe na Dr Slaa hata kwa gharama za damu zao!
Mwigamba Na Wenzake Ni Wapuuzi Kabisa
Hawa wahuni ni mashujaa wa nini?
Ningeshangaa sana kama mwanaCCM kama wewe usingewatukana hawa majabali
Ni majabali wa nini? Hakuna chochote cha maana walichowahi kukifanya kwa faida ya taifa hili.