Msaidizi wa Kufua/ kupika na Kufanya usafi Kwangu

Hujui kuwa kuzini ni dhambi?? Kwanini usioe ndugu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Habari kaka hope u mzima binafc napatikana tegeta na ninadadaangu aweza fanya kazi hiyo kama haujapata naomba tuwasiliane tafazari 0764161048
 
😁😁😁 aisee 😁😁😁😁😁 we mzaramo?
 
Nimekuja pm naona text inakataa kusend ..!! Kama hujapata mtu naomba tuwasiliane ili uniajiri 0693656754.
 
Hao wa kampuni ndo balaa zaidi. Sisi tuliwahi kupigwa tukio na housegirl wa kampuni, baada ya kufuatilia ikaja kugundulika ni mpango wa hiyo kampuni huwa wanachonga madili na hao wadada kupiga matukio wakishaanza kazi sehemu.
Juzi shoga angu kaletewa house girl huyo ana familia kaja na mtoto mmoja wengine sijui kaacha wapi,kisanga shoga angu ana mapacha sasa sijui ataleaje watoto watatu
 
⚡The operator of the GTS of Ukraine announced that from May 11 it will stop the transit of gas to Europe through the Sohranivka gas distribution station.
 
More than 12 million people took part in the Immortal Regiment campaign in Russia, the Ministry of Internal Affairs reported.

“This year, the patriotic action “Immortal Regiment” took place on the territory of Russia in the traditional format of a national procession. More than 12 million people took part in it. Law and order during the action is provided by police officers in full, ”the department said.

 
This is beneficial for American defense companies, but not for the Ukrainian people.”

Further shipment of weapons to Ukraine will only lead to an escalation of the conflict. This was stated by RT civil rights lawyer Robert Patillo, commenting on Biden's signing of the lend-lease law.

“You need to understand that, although what is happening in the West has been called a war for two months now, this is a special military operation.

Now the fighting is being carried out in a pinpoint manner, but continued resistance with the support of the West creates the danger of the conflict escalating into a full-scale war. We have already seen this in Vietnam and Korea,” said the lawyer.
 
Maria Zakharova @MariaVladimirovnaZakharova reacted to the words of Kuleba, who threatened the European Union:

“Ukrainian Foreign Minister Kuleba: “If we don’t get candidate status, it can mean only one thing – Europe is trying to deceive us. And we won't swallow it."

Before that, they swallowed. And it worked out well."
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…