minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
visasi zimeanza wasipoangalia watamalizana wao kwa wao......naskia jamaa anapenda visasi sana bdo wale aliosema mchana wko nae ucku wko ukawa
Kaamua kuwakimbiza ikulu akina Michuzi akiwa na camera na blog yake na wenzao ngoja utasikia wakimpiga majungu kwa kwenda mbele kisha nao watakuja kukamatwa baadae !