Msaidieni rafiki yangu, maisha magumu

Msaidieni rafiki yangu, maisha magumu

maisha ndgu yang 2naktana na marafk weng xan wana maixh magum xa 2kxema kila m2 2mwezexhe mtaj itakuw ngum ndo maan wengne 2nwataftia mxaada hmu jf.

Huu Usharo wako ndio unaokufanya unaona maisha magumu,acha ubitozi piga kazi,okota makopo,nenda city kaombe kazi za kufagia barabara,nenda kk security tafuta kazi kijana,uza maji ya kandoro,tembeza karanga,tembeza mayai,huo usharo wako unataka kwenda kuwala watoto wa baba mwenye nyumba au kuwa marioo kwa mama mwenye nyumba.
 
Mwambie aende kwa bab shebuu carwash pale kurasini akajifunze kazi ya kuosha magari
 
Huu Usharo wako ndio unaokufanya unaona maisha magumu,acha ubitozi piga kazi,okota makopo,nenda city kaombe kazi za kufagia barabara,nenda kk security tafuta kazi kijana,uza maji ya kandoro,tembeza karanga,tembeza mayai,huo usharo wako unataka kwenda kuwala watoto wa baba mwenye nyumba au kuwa marioo kwa mama mwenye nyumba.

duuuh! umepanic buradha..
 
asante kwa ushauri mkuu hao tigo hawana vigezo vyovyote vya kumchagua mtu?

ajue kusoma na kuandika, aende na barua ya serikali ya mtaa kazi anaanza mapema akijituma miezi mitatu tu! atakua na pato si chini ya laki 350000/= kwa mwezi ingawa inaongezeka na kupungua.
 
Habari zenu JF
Nina rafiki yangu katoka mkoani kaja Dar kutafuta maisha yani anapata tabu sana sababu hana kazi na ukiangalia hata sehemu ya kulala ni ya kuunga-unga, naombeni anayeweza kumsaidia amsaidie kazi yoyote yeye amesema atafanya. Ana elimu ya form 4, ana umri wa miaka 19-21, Ni mvulana, mwenye nafasi yoyote ile ya kazi hata nyumbani kwake please!

Msaidieni maisha magumu

Anakuja kutafuta maisha kwani huko kijijini alikuwa haishi? Acheni kasumba za kujakuja mjini au hamkusikia ule wimbo wa mwana fa usije mjini?? Mwambie huku hakufai kama vipi ageuze na basi alilokuja nalo
 
Back
Top Bottom