Msaidieni rafiki yangu, maisha magumu

Msaidieni rafiki yangu, maisha magumu

kwanini ulimpokea wakati unajua wazi huna uwezo wa kumsaidia hata basic need ya malazi? Achilia mbali hata Kula nako!!
Hivi unajua kuwa huo ni ukatili kwa mwanadamu mwenzio mkuu?
Bora ungemuumiza kwa kumwambia ukweli kuliko kumfurahisha kwa uongo.:glasses-nerdy::glasses-nerdy:

mkuu ujaelewa mi sijamwita nilikutana nae 2 ubungo nikamkumbka ndo akaniambia hzo shda xo nkamwambia cna uwezo ngoja nkutaftie nkipata ntakujulsha ndo tegemeo lang lilkuw hpa jf.
 
Habari zenu JF
Nina rafiki yangu katoka mkoani kaja Dar kutafuta maisha yani anapata tabu sana sababu hana kazi na ukiangalia hata sehemu ya kulala ni ya kuunga-unga, naombeni anayeweza kumsaidia amsaidie kazi yoyote yeye amesema atafanya. Ana elimu ya form 4, ana umri wa miaka 19-21, Ni mvulana, mwenye nafasi yoyote ile ya kazi hata nyumbani kwake please!

Msaidieni maisha magumu

mkuu ujaelewa mi sijamwita nilikutana nae 2 ubungo nikamkumbka ndo akaniambia hzo shda xo nkamwambia cna uwezo ngoja nkutaftie nkipata ntakujulsha ndo tegemeo lang lilkuw hpa jf.
Thread yako imesema wapi kwamba mlikutana Ubungo??


By the way, ana vyeti vya shule???

Au kam anaweza, achangamke awe hata bus conductor for the time being..
 
Thread yako imesema wapi kwamba mlikutana Ubungo??


By the way, ana vyeti vya shule???

Au kam anaweza, achangamke awe hata bus conductor for the time being..

ana living certficate onl,so cdhan kama yaweza kumsaidia kitu
 
Tatizo binadam wa kileo hatuna wema hata chembe,unaweza ukamsaidia mtu then akaja kukuliza pasipo kutegemea,watu tumekuwa tukiogopana kila unaepishan nae unahisi mwizi,WEMA unaponza,unaweza ukampa kazi home kam houseboy baadae anaanza kuchombezachombeza kwa mkeo au hata kuchonga dili na magenge ya wahuni kuja kukuvamia,hii inatia shaka kwa kweli.Akomae tu atalizoea jiji.
 
Dar vijana wengi ni wavivu hawapendi kazi za jasho,hivyo atafute kazi ya kibarua cha ujenzi atapata.Pia anaweza enda office za Tanesco kujieleza huko manual work hazikosi.Jaribu kumshauri hivyo unganisha na huo ushauri wa kwenda kwenye viwanda.! Mfikishie salaam zangu.Mwambie sote tunaumizwa jua si msomi si mtu ambaye hajasoma.Wote ni maumivu hapa bongo na ndipo viongozi wetu walipotufikisha leo.
 
Fuatilia pia hiyo thread ya jamaa anayetafuta mkaanga chips hapahapa JF.!
 
unafkir kila mtu anajua kutengeneza chips? wengine hawajua kama zinatokana na viazi.
 
hapana mjini ndiyo sehemu yenye fursa zaidi za kazi

Ndugu mjini fursa na kila MTU anakuja mjini na kuacha fursa za uko alikotoka. Mjini kumejaa yani uku kama huna dili bora ukomae kijijini
 
Nakumbuka ilinikuta kama hivyo kumsaidia tu ndani ya usiku mmoja tu kanipiga simu kasepa hadi leo hamu Sina
 
Tatizo binadam wa kileo hatuna wema hata chembe,unaweza ukamsaidia mtu then akaja kukuliza pasipo kutegemea,watu tumekuwa tukiogopana kila unaepishan nae unahisi mwizi,WEMA unaponza,unaweza ukampa kazi home kam houseboy baadae anaanza kuchombezachombeza kwa mkeo au hata kuchonga dili na magenge ya wahuni kuja kukuvamia,hii inatia shaka kwa kweli.Akomae tu atalizoea jiji.

mkuu unachoongea ni kwel ila bnadam wote hatfanan mwngne ana shda kwel akpata fursa haichezei we kam una nafax unamchkua then ukimwna anakwenda cvyo unamtoa 2 anakuw kajiarbia mwnyew
 
unafkir kila mtu anajua kutengeneza chips? wengine hawajua kama zinatokana na viazi.

mshkaj ana uzoef na chips cz alshawah fany hyo kaz kwa ndgu yke kbla mtaji wa ndgu yke kukua na kuachan na biashar hyo
 
Back
Top Bottom