satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Jana majira ya saa 11 jioni,msafara wa Rais J.M. Kikwete ulisababisha ajali ya basi kubwa la Abood lililopinduka miguu juu Visiga,Kibaha-Pwani. Taarifa rasmi zinaonesha kuwa gari lililopinduka lilikuwa safarini kwenda Moro wakati Rais akielekea Dar. Gari hilo limeondolewa saa 9 usiku chini ya askari wenye silaha za moto kuficha kadhia hii kwakuwa makosa yalifanywa na msafara wa JK. Hakukuwa na aliyepoteza maisha ila majeruhi kadhaa...
Damu ya Mwangosi hiyo inamfuata kila anapokwenda