Msafara wa Rais wasababisha ajali - Visiga.

Msafara wa Rais wasababisha ajali - Visiga.

Kwa jinsi msafara wa Rais ulivyo hapo naweza sema ni uzembe na upuuzaji wa madereva wetu, maana kabla ya kuyafikia magari ya msafara hutanguliwa na pikpik mbili za Polisi, sasa kwa kuzingatia na ukubwa wa mabasi hayo dereva huona umbali mkubwa na ana nafasi ya kupunguza mwendo kama alikuwa speed, sema madereva wetu bana wanapenda mibrek ya hapa na hapa ndo shida kama hapo kaja na mibio mwenziye wa mbele kaweka mguu kati ye kaja mzima mzima kataka kumbutua ikabidi aitoe nje ya barabara kawamwaga abiria..
 
Vyote viwili. Mwendo kasi na msafara wa rais vimesababisha. Lori lililokuwa mbele ya Abood lilipiga breki ya ghafla kwa hofu ya ving'ora vya msafara. Abood likiwa kwenye mwendo kasi ili kukwepa kuuvaa msafara au kuligonga lori kwa nyuma likaona isiwe tabu, likaingia mtaroni. I thank thee O Lord, my darling wife is safe. Haya mambo yasikie kwa wengine. Dah!
huyo dereva wa abood hana shabaha pumbavu kabisa unaumiza abiria badala ya kuumiza wanaosababisha matatizo kwa abiria na watu wengine.
 
Kwa jinsi msafara wa Rais ulivyo hapo naweza sema ni uzembe na upuuzaji wa madereva wetu, maana kabla ya kuyafikia magari ya msafara hutanguliwa na pikpik mbili za Polisi, sasa kwa kuzingatia na ukubwa wa mabasi hayo dereva huona umbali mkubwa na ana nafasi ya kupunguza mwendo kama alikuwa speed, sema madereva wetu bana wanapenda mibrek ya hapa na hapa ndo shida kama hapo kaja na mibio mwenziye wa mbele kaweka mguu kati ye kaja mzima mzima kataka kumbutua ikabidi aitoe nje ya barabara kawamwaga abiria..
kwani angeufumua msafara tungepata hasara gani kwani wote si biaadamu au wengine hawatakiwi kupata matatizo duniani.
 
kwani angeufumua msafara tungepata hasara gani kwani wote si biaadamu au wengine hawatakiwi kupata matatizo duniani.

Hapo ni yeye tu ndo ilikuwa chaguo lake kulifumua gari lililosimama mbele ghafla au kuufumua msafara lakini kwa upeo wake akaona kwa kufanya vile angesababisha hatari kubwa kwa yeye mwenyewe, Abiria alowabeba na Walokuwa kwenye msafara huo, ndio maana kwa jitihada zake akavinusuru vifo!!
 
Hapo ni yeye tu ndo ilikuwa chaguo lake kulifumua gari lililosimama mbele ghafla au kuufumua msafara lakini kwa upeo wake akaona kwa kufanya vile angesababisha hatari kubwa kwa yeye mwenyewe, Abiria alowabeba na Walokuwa kwenye msafara huo, ndio maana kwa jitihada zake akavinusuru vifo!!
safi sana nazungumzia kama kulikuwa na posibilit ya kuupamia msafara na wengine wabaki salama.
 
Mweshimiwa anakwenda kukagua ngombe wake wa maziwa kijijini kwao

ngoja nikapate mbege mie
 
Vyote viwili. Mwendo kasi na msafara wa rais vimesababisha. Lori lililokuwa mbele ya Abood lilipiga breki ya ghafla kwa hofu ya ving'ora vya msafara. Abood likiwa kwenye mwendo kasi ili kukwepa kuuvaa msafara au kuligonga lori kwa nyuma likaona isiwe tabu, likaingia mtaroni. I thank thee O Lord, my darling wife is safe. Haya mambo yasikie kwa wengine. Dah!
Pole sana kaka.
 
Mweshimiwa anakwenda kukagua ngombe wake wa maziwa kijijini kwao

ngoja nikapate mbege mie

Mmeku, Njoo nkupe Bia hapa ABC bar nyuma ya saloon ya Mtenga hapa stand; achana na Mbege, leo usiende Mamsera bana mbali kule, Waishwaa?????
 
Vyote viwili. Mwendo kasi na msafara wa rais vimesababisha. Lori lililokuwa mbele ya Abood lilipiga breki ya ghafla kwa hofu ya ving'ora vya msafara. Abood likiwa kwenye mwendo kasi ili kukwepa kuuvaa msafara au kuligonga lori kwa nyuma likaona isiwe tabu, likaingia mtaroni. I thank thee O Lord, my darling wife is safe. Haya mambo yasikie kwa wengine. Dah!
Duh pole mpwa na wa ubavu wako
 
Kwa jinsi msafara wa Rais ulivyo hapo naweza sema ni uzembe na upuuzaji wa madereva wetu, maana kabla ya kuyafikia magari ya msafara hutanguliwa na pikpik mbili za Polisi, sasa kwa kuzingatia na ukubwa wa mabasi hayo dereva huona umbali mkubwa na ana nafasi ya kupunguza mwendo kama alikuwa speed, sema madereva wetu bana wanapenda mibrek ya hapa na hapa ndo shida kama hapo kaja na mibio mwenziye wa mbele kaweka mguu kati ye kaja mzima mzima kataka kumbutua ikabidi aitoe nje ya barabara kawamwaga abiria..
Hivi Pinokyo Jujuman umeshawahi kukutana na msafara wa mheshimiwa nje ya mji? maana hapa mjini ndio pikipiki huwa mbali naye kidogo yaani hutangulia! Ila nje ya mji huwa na gali la kingora na inategemea ushapu wa huyo mwongozaji. mara nyingine huwa karibu kabisa! KIkubwa ni kwamba dereva wa basi hana shabaha! angejitoa muhanga!
 
Last edited by a moderator:
Hivi Pinokyo Jujuman umeshawahi kukutana na msafara wa mheshimiwa nje ya mji? maana hapa mjini ndio pikipiki huwa mbali naye kidogo yaani hutangulia! Ila nje ya mji huwa na gali la kingora na inategemea ushapu wa huyo mwongozaji. mara nyingine huwa karibu kabisa! KIkubwa ni kwamba dereva wa basi hana shabaha! angejitoa muhanga!
Hahahaha! Kulaaleki! Angeufumulia mbali msafara? Huyu JK huyu.... Msafara wake ungeniulia mke wangu ningemuolea Mwanaasha bila kulipa mahari wallah!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkulu Asprin vp anaendeleaje?

Anaendelea poa mkuu. Bahati mbaya aliokuwa nao wengine bado wako hoi Tumbi hospital na wengine kimeumana zaidi wamehamishiwa MOI.
 
Last edited by a moderator:
Jana majira ya saa 11 jioni,msafara wa Rais J.M. Kikwete ulisababisha ajali ya basi kubwa la Abood lililopinduka miguu juu Visiga,Kibaha-Pwani. Taarifa rasmi zinaonesha kuwa gari lililopinduka lilikuwa safarini kwenda Moro wakati Rais akielekea Dar. Gari hilo limeondolewa saa 9 usiku chini ya askari wenye silaha za moto kuficha kadhia hii kwakuwa makosa yalifanywa na msafara wa JK. Hakukuwa na aliyepoteza maisha ila majeruhi kadhaa...
 
watu wapekenyuzi, daah....mpaka huyu jamaa atoke madarakani atakuwa ameshakonda ubongo kwa mawazo.
 
Back
Top Bottom