BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
hivi kwanini misafara ya huyu baba kila mara inamwaga damu kama sio ya kupoteza maisha basi damu ya kuumia itatoka.
huwa anaona raha sana damu zetu zikitoka????
kwani akienda mwendo wa kawaida atapungukiwa nn??
usiombe ukutane nahuo msafara yaani uatadhani kuna mashindano ya kukimbiza roketi na kila mara wao wanapata ajali but hawakomi, wanasema usimwombee jirani yak mabaya but mie kwa hili nina mwombea apate ajali ili asikie machungu na maumivu yake yakoje akisha jeruhiwa hatokaa arudie tena kukimbiza magari yao.
huwa anaona raha sana damu zetu zikitoka????
kwani akienda mwendo wa kawaida atapungukiwa nn??
usiombe ukutane nahuo msafara yaani uatadhani kuna mashindano ya kukimbiza roketi na kila mara wao wanapata ajali but hawakomi, wanasema usimwombee jirani yak mabaya but mie kwa hili nina mwombea apate ajali ili asikie machungu na maumivu yake yakoje akisha jeruhiwa hatokaa arudie tena kukimbiza magari yao.