Waziri Mkuu Germany????????Kwahiyo unataka mchungi agombee tena?Russia ni katiba yao German waziri mkuu hana kikomo sasa kwetu kipo wametudanganya nini what about America na Japan nao wamedanganywa?
In German politics, the Chancellor is the equivalent of a prime minister in many other countriesWaziri Mkuu Germany????????
Then write Chancellor as many people know the Chancellor not Prime Minister .But remember Germany pia wana RaisIn German politics, the Chancellor is the equivalent of a prime minister in many other countries
Ni kama prime minister na taarifa nyingi ndio huwa wanatumia hilo nenoThen write Chancellor as many people know the Chancellor not Prime Minister .But remember Germany pia wana Rais
So Majaliwa naye tumwite Chancellor?Ni kama prime minister na taarifa nyingi ndio huwa wanatumia hilo neno
Ni mjerumani?So Majaliwa naye tumwite Chancellor?
Na unaposema Angel Waziri Mkuu ni Mtanzania???Ni mjerumani?
Dah huo msafara Madikteta bana Yani hayajiamini popote pale Iwe kwenye sanduku la kura, Uhuru wa habari Na hata misafara.



Nimehesabu nikachoka asante we umeamalizaGari 91, uyu Mzee ni hatari.
HAisAIDI kitu AKITOKA HUYO ATAINGIA MWINGINE NGOMA HIVO HIVO.hata kama wa chama kingine. usalama wake ni muhimu awe diktete au asiwe. Akipatwa na janga vuruguu angalia YEMEN imekuwajeNimehesabu nikachoka asante we umeamaliza
Asante Mungu kwa kuweka kifo wanetusumbua sana
Obama alikuja hapa Bongo, sikuona hayo magari 91Sijaona kufuru hapo, fatilia misafara aliyofanya Obama au Trump wakiwa nje ya ardhi ya America ndio utaona kufuru