mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,601
Muulize mtoa madakwan Chechnya ni nje ya urusi?
Muulize mtoa madakwan Chechnya ni nje ya urusi?
Huhu Ulaya...!!!!Huku ulaya wameshaachana na maswala ya demokrasia, wanatudanganyia sisi tu,Putin mwakani anagombea muhula wa nne wa urais, hiyo ni baada ya kuwa rais kwa awamu mbili, baadaye kuwa waziri mkuu, na kurejea kuwa Rais, tena, Angela Merkel naye muhula wa tatu, malkia anakwenda mwaka wa 64 huu madarakani, wacha sisi tuendelee kupoteza muda na mzigo ambao waanzilishi wenyewe wameshaachana nao.
Ni typing error mkuu, nimerekebisha.wewe upo ulaya au lumumba kwa wanywa kahwa na kashata
akili hiyo haiwezi kuwa inaishi kwenye baridi
typing error, nimesharekebisha mkuu.Huhu Ulaya...!!!!
Sasa sisi tuna PM?au rais?Japan PM wa sasa ameshika madaraka mara 3,
No 101Gari 91, uyu Mzee ni hatari.
Je katiba zao si zinaruhusu?Huko ulaya wameshaachana na maswala ya demokrasia, wanatudanganyia sisi tu,Putin mwakani anagombea muhula wa nne wa urais, hiyo ni baada ya kuwa rais kwa awamu mbili, baadaye kuwa waziri mkuu, na kurejea kuwa Rais, tena, Angela Merkel naye muhula wa tatu, malkia anakwenda mwaka wa 64 huu madarakani, wacha sisi tuendelee kupoteza muda na mzigo ambao waanzilishi wenyewe wameshaachana nao.
Somji dugu yake Kumara iko Mumbai salimia woteee hukoNi nini maana ya dikteta.???
kipofu huyo,kuna msafara ulindwao kuzidi wa raisi wa emericaSijaona kufuru hapo, fatilia misafara aliyofanya Obama au Trump wakiwa nje ya ardhi ya America ndio utaona kufuru
Dah huo msafara Madikteta bana Yani hayajiamini popote pale Iwe kwenye sanduku la kura, Uhuru wa habari Na hata misafara.
Huyu anaiga tu. Hii ilikuwa ndoto tu kwake ila akaamka rais unajua nini kitafuata???? Mambo yatapelekwa tu km gari bovu.aiseee mbona hata huyu wetu nae kaanza hizo mambo za kuweka mavx mengi mtaani