Msafara wa mh. Rais na gari la wagonjwa!!!...

Msafara wa mh. Rais na gari la wagonjwa!!!...

mr planB

Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
15
Reaction score
1
Habari wanajavi?.
Jamani leo nilipokuwa katika pirika pirika zangu za kutafuta ridhiki nilikutana na hii hoja.

MSAFARA WA RAISI UNAPOKUTANA NA GARI LA WAGONJWA, NINANI ANAESTAHILI KUPAKI PEMBENI ILI MWENZAKE APITE?

Samahanini sana ndugu zangu nimependa kutoa hii mada kwa kuamini mahala hapa kunawatu wengi na wenye uelewa mkubwa kuliko mimi na hao jamaa.
Natumai kupata maelekezo mazuri na sisi tujifunze
ahsateni sana
 
Habari wanajavi?.
Jamani leo nilipokuwa katika pirika pirika zangu za kutafuta ridhiki nilikutana na hii hoja.

MSAFARA WA RAISI UNAPOKUTANA NA GARI LA WAGONJWA, NINANI ANAESTAHILI KUPAKI PEMBENI ILI MWENZAKE APITE?

Samahanini sana ndugu zangu nimependa kutoa mada kwa kuamini mahala hapa kunawatu wengi na wenye uelewa mkubwa kuliko mimi na hao jamaa.
Natumai kupata maelekezo mazuri na sisi tujifunze
ahsateni sana

Hayawezi kukutana maana barabara zinazuiwa hrs before
 
Hayawezi kukutana maana barabara zinazuiwa hrs before

Hata mimi nahitaji kujuwa, mkuu wanaozuia wanaiona pale na mgonjwa anahitaji huduma je wataendelea

kuizuia? mpaka jamaa apite na mgonjwa afe?

Sielewi Polisi wanapewa utaratibu upi?
 
Lazima rais apite kwanza . Ambulance inaweza kutafuta route nyingine
 
Hata mimi nahitaji kujuwa, mkuu wanaozuia wanaiona pale na mgonjwa anahitaji huduma je wataendelea

kuizuia? mpaka jamaa apite na mgonjwa afe?

Sielewi Polisi wanapewa utaratibu upi?

Kabla Rais kuanza safari muda kama wa several hrs or minutes before, gari huwa zinazuiwa hivyo hayawezi kutana
 
Sjawahi ona hiyo kessy ila km ikotokea bas nafkiri msafara wa raisi na ambulance zitakuwa pamoja yaani ambulance itakuwa imetwngenezewa wepes wakupita na km ambulance imetoka njia tofauti na anayotoka raisi bas nafkiri Ambulance huwa anatafuta njia nyengine president anapita
 
Sjawahi ona hiyo kessy ila km ikotokea bas nafkiri msafara wa raisi na ambulance zitakuwa pamoja yaani ambulance itakuwa imetwngenezewa wepes wakupita na km ambulance imetoka njia tofauti na anayotoka raisi bas nafkiri Ambulance huwa anatafuta njia nyengine president anapita

Hoja yako ni ya busara sana mkuu!
 
Habari wanajavi?.
Jamani leo nilipokuwa katika pirika pirika zangu za kutafuta ridhiki nilikutana na hii hoja.

MSAFARA WA RAISI UNAPOKUTANA NA GARI LA WAGONJWA, NINANI ANAESTAHILI KUPAKI PEMBENI ILI MWENZAKE APITE?

Samahanini sana ndugu zangu nimependa kutoa hii mada kwa kuamini mahala hapa kunawatu wengi na wenye uelewa mkubwa kuliko mimi na hao jamaa.
Natumai kupata maelekezo mazuri na sisi tujifunze
ahsateni sana

kukutana vipi?? msafara unatoka north ambulance south?? in this case hamna haja ya kusimama kila mmoja ataenda na safari yake.
kama wakikutana on the same road, going same direction wa mbele ataendelea kuwa mbele hamna haja ya kumpisha mwingine.
 
kukutana vipi?? msafara unatoka north ambulance south?? in this case hamna haja ya kusimama kila mmoja ataenda na safari yake.
kama wakikutana on the same road, going same direction wa mbele ataendelea kuwa mbele hamna haja ya kumpisha mwingine.

mkuu ni katika different direction na wakati huo kuna gari la polisi mbele kabisa lina wataka watu kupaki magari yao pembeni na katika magari hayo kuna gari la wagojwa.
Kingine magari yaliyo kwenye msafara wa raisi huwa yanakuwa zig zaga yaan yanachukua barabara pande zote hafu huwa spidi sana,
so hapa inakuwaje mkuu
 
mkuu ni katika different direction na wakati huo kuna gari la polisi mbele kabisa lina wataka watu kupaki magari yao pembeni na katika magari hayo kuna gari la wagojwa.
Kingine magari yaliyo kwenye msafara wa raisi huwa yanakuwa zig zaga yaan yanachukua barabara pande zote hafu huwa spidi sana,
so hapa inakuwaje mkuu

nafikiri hapa common sense inahusika...hao polisi wa kwenye msafara wanajua ambulance ni nini na watakuwa majuha kama watailazimisha ikae pembeni ili rais apite.
 
Jibu ni rahisi sana kuwa Rais ndiyo roho aghali kuliko zote hapa tz hivyo inalindwa kwa gharama yeyote ile.Kumbuka si jambo rahisi kuamini kuwa aliyobebwa kwenye gari la wagonjwa kuwa ni mgonjwa lakini Rais ni uhakika kuwa yumo ndani ya gari hivyo itakuwa jambo hatari kurusu gari ya wagonjwa au zimamoto ambayo kupata ushaidi wake kwa haraka ni vigumu hivyo basi kiusalama lazima Rais apite kwanza ndiyo mambo mengine yafuate kinyume cha hapo Maisha ya Rais yatakuwa hatari maana maadui watatumia huo mwanya wa gari la wagonjwa au fire kutekeleza mauaji au mapinduzi. Hivyo Rais kwanza wengine pangeni foleni
 
Swali ni kwamba hata ambulance inasimamishwa???

Asprin, magari kusimamishwa kunatokea kama mnaruhusiwa kwa pamoja kuingia barabarani. Kama kuna ujio wa rais, magari yote huwa yanazuiwa muda mrefu kabla safari ya rais kuanza. Hivyo hayawezi kukutana. Labda kama unasema je magari yakiwa yamezuiwa kumsubiri rais apite je ambulance nayo itazuiwa? hapo nitakuelewa
 
Asprin, magari kusimamishwa kunatokea kama mnaruhusiwa kwa pamoja kuingia barabarani. Kama kuna ujio wa rais, magari yote huwa yanazuiwa muda mrefu kabla safari ya rais kuanza. Hivyo hayawezi kukutana. Labda kama unasema je magari yakiwa yamezuiwa kumsubiri rais apite je ambulance nayo itazuiwa? hapo nitakuelewa
Ndilo lilikuwa swali langu mkuu. Na kama haitazuiwa itakuwaje ikikutana na msafara wa rais??
 
Habari wanajavi?.
Jamani leo nilipokuwa katika pirika pirika zangu za kutafuta ridhiki nilikutana na hii hoja.

MSAFARA WA RAISI UNAPOKUTANA NA GARI LA WAGONJWA, NINANI ANAESTAHILI KUPAKI PEMBENI ILI MWENZAKE APITE?

Samahanini sana ndugu zangu nimependa kutoa hii mada kwa kuamini mahala hapa kunawatu wengi na wenye uelewa mkubwa kuliko mimi na hao jamaa.
Natumai kupata maelekezo mazuri na sisi tujifunze
ahsateni sana

Inategemea kama ni wakati wa kampeni au kesha ukwaa.
 
Rais naye ni mwananchi inakuwaje akisha kuwa rais ni mtu anayezuiliwa kujichanganya na wananchi wenzake mitaani kila mara kumkimbiza na ving'ora kama mama mjamzito anayewahishwa hospitali? Kuna raha gani kila anakoenda au anapofanya chochote anafuatwa na watu na kufuatiliwa kila kitu. Hivi ni wakati anakuwa free from wapambe? Hivi hata akipumzika chumbani na wife anakuwa analindwa
 
Lazima rais apite kwanza . Ambulance inaweza kutafuta route nyingine
inakuawaje kama hizo route zingine hazipo? nini hufanyika na mgonjwa akifa kwa ambulance kusubiri rais apite ndio nayo ipite inakuwa imekaaje nani kaua trafik au rais maana ukisema lazima rais apite hii maana yake kama ambulance nayo ipo barabarani inapaswa kukaa pembeni. imekaaje hii
 
Jibu ni rahisi sana kuwa Rais ndiyo roho aghali kuliko zote hapa tz hivyo inalindwa kwa gharama yeyote ile.Kumbuka si jambo rahisi kuamini kuwa aliyobebwa kwenye gari la wagonjwa kuwa ni mgonjwa lakini Rais ni uhakika kuwa yumo ndani ya gari hivyo itakuwa jambo hatari kurusu gari ya wagonjwa au zimamoto ambayo kupata ushaidi wake kwa haraka ni vigumu hivyo basi kiusalama lazima Rais apite kwanza ndiyo mambo mengine yafuate kinyume cha hapo Maisha ya Rais yatakuwa hatari maana maadui watatumia huo mwanya wa gari la wagonjwa au fire kutekeleza mauaji au mapinduzi. Hivyo Rais kwanza wengine pangeni foleni

je ingekuwa tunauhakika kuwa kila ambulance ipitapo kuna mgonjwa je ambulance husimamishwa au itasimamishwa?
 
Back
Top Bottom