Ndilo lilikuwa swali langu mkuu. Na kama haitazuiwa itakuwaje ikikutana na msafara wa rais??
inakuawaje kama hizo route zingine hazipo? nini hufanyika na mgonjwa akifa kwa ambulance kusubiri rais apite ndio nayo ipite inakuwa imekaaje nani kaua trafik au rais maana ukisema lazima rais apite hii maana yake kama ambulance nayo ipo barabarani inapaswa kukaa pembeni. imekaaje hii