Msafara wa Magufuli Arusha


huo msafara ulikuwa wa makamu wa rais wewe kuwa mwelewa.
 
CCM mbona mnazidi kutuchukiza watanzania? Hao polisi no Wa serikali magufuli Wa ccm kama in uwaziri hana hadhi ya hiyo misafara tusije tukalaumiana baada ya oktoba

Kama ungetazama taarifa ya habari TBC one ungeona kuwa magufuri alikuwa na bilali pamoja na mkuu wa mkoa wa Arusha.

Hayo mengine ni ushabiki tu wa kisiasa, na magufuri alikuwa huko kwa ziara ya kiserikali kama waziri wa ujenzi na sio kama mgombea urais wa ccm.
 




Waziri!!!!!!!

Hivi TANZANIA tuna mawaziri ambao sio wabunge?
Kipindi cha ubunge kimeshaisha baada ya bunge kuvunjwa sasa huyo Magufuli amepata wapi uwaziri kwa wakati huu amba wabunge wote wanaomba upya ridhaa?.

Tatizo la hii nchi ni mfumo mbovu wa CCM.

Novemba CCM tupa kule na mfumo wake wa kichawi.
 

Kilichovunjwa ni bunge na sio baraza la mawaziri. Hayo mengine iulize katiba.
 

Inaruhusiwa ndiyo maana ukaona.

Isitoshe, kumbuka huyo ndiyo Rais wa awamu ya tano.
 

Hivi hujui makamu wako wa rais alikuwa huko pamoja na Waziri wako wa ujenzi ambaye ni Rais mtalajiwa?


inabidi uzoee baada ya october 25 msafara wa JPM utakuwa zaidi ya huo.
 

Mkuu ccm sasa hivi ni sawa na ule usemi usemao sikio la kufa halisikii dawa
 
Kama uliona hayo hayakua yakimuhusu Pombe..
Hio ilikua kwaniaba ya makamu wa rais...
Achakuropoka....

Kitaeleweka kwani hata mkijitetea haiwasaidii kitu chochote kile,october haiko mbali
 
Inaruhusiwa ndiyo maana ukaona.

Isitoshe, kumbuka huyo ndiyo Rais wa awamu ya tano.

Baada ya tarehe 25 Mwezi wa kumi tutakuwa tunasema ''Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli''.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…