Msafara wa kwenda kukagua shule!

Msafara wa kwenda kukagua shule!

Kwanini hamkuwaweka kwenye basi km kule kwa bibi juzi.
Hili kutatua hili inaweza kupendekezwa wote wawe wanakwenda pale kwa awamu Yaani Asubuhi, Mchana na kesho yake ili magari yasionekane yamerundikwa pale kwa wakati Mmoja. Yaani we acha tu!
 
Shuleni kwenyewe Sasa

Screenshot_20220929_024158.jpg
 
Gharama ya mafuta waliyotumia hapo gharama yake ni madarasa kadhaa wao wamechoma moto ili kuonyesha jamii tuu..
 
awataki katiba mpya kwasababu wanaogopa ipo siku watashtakiwa na watanzania ambao wanatunza ushahidi kidogokidogo wa ubadhilifu,ufisadi na ukiukwaji wa sheria za nchi na haki za binadam.
tozo ni wizi ipo siku patakapo pambazuka watasimama kizimbani kujibu tuhuma za wizi.
 
Alishaokoka kwa Mwamposa na mandunguri yake yakachomwa moto.

Tunasafari mdefu sana ya kufika.
 
Back
Top Bottom